Wanaume wa wanawake wafanyakazi

Wanaume wa wanawake wafanyakazi

Jamani kuna kitu kinanishangaza utakuta mwanamke ameolewa na mume wake anao uwezo kawaida ila saa ya lunch anaomba omba vioffer ivi wanaume mnashindwa kuwapa wake zenu ela ya lunch?<br />
Mi na wish nipate mwanaume atakaenicare kwa vitu kama ivo jamani anipe nauli na hela ya lunch ata kama ninayo.i will be broud of him.so wanaume kuweni na moyo wa kuwajali wake zenu
<br />
<br />
Jivue gamba na hiyo nafasi yako aajiriwe mtu mwingine halafu we urudi kuwajibika nyumbani tu. Walau uwe unamsubiria mumeo basi unamfanyia hata massage uchovu wa kazi unapungua kuliko hivo unavomuongezea mzigo wa lunch!! Hee......we mwanamke wa wapi? Maana hata wale wa enzi za mababu zetu walikuwa wanaamka alfajiri na mapema wanachemsha viazi/viporo vyao wanajiendea shamba, sembuse wewe mwenye mshahara!! Shame on you! Acha kabisa hiyo kazi kama huwezi kujinunulia lunch . Halafu kama mshahara wako ni kidogo why utake vya juu? Mwingine utakuta ana mshahara wa kutosha kabisa lakini kazi ubahili tu......jamani hadi kwenye afya yako mwenyewe?! Fikra hasi kama hizi zinarudisha maendeleo nyuma kwakweli!
 
Jamani kuna kitu kinanishangaza utakuta mwanamke ameolewa na mume wake anao uwezo kawaida ila saa ya lunch anaomba omba vioffer ivi wanaume mnashindwa kuwapa wake zenu ela ya lunch?<br />
Mi na wish nipate mwanaume atakaenicare kwa vitu kama ivo jamani anipe nauli na hela ya lunch ata kama ninayo.i will be broud of him.so wanaume kuweni na moyo wa kuwajali wake zenu
<br />
<br />
Jamani, huyo mwanamke mwenye kazi, hlf muda wa lunch anaomba offer kiukwel anajidhalilisha na kujiaibisha yeye na kaz yake. Hata kama mume ana kaz na uwezo mzuri sio kigezo cha yeye kutoa pesa kwa kila hitaji ndani ya nyumba. Maisha ni kusaidiana na kama mwanamke ana kazi kwa nin mambo mengine madogomadogo kama naul, lunch asiyamalize yeye mwenyewe tu? Inaonekana huyo atataka hata matunda na mboga alete baba. Huo ni uonevu.
 
Hulka ya mtu huwa na mchango ktk hili, kiasilia kuna watu wanahizi tabia, hata iwaje kubadirika ni ngumu so kunawanawake wa tabia hizi pia! Sio vizuri kabisa!
 
Jamani kuna kitu kinanishangaza utakuta mwanamke ameolewa na mume wake anao uwezo kawaida ila saa ya lunch anaomba omba vioffer ivi wanaume mnashindwa kuwapa wake zenu ela ya lunch?Mi na wish nipate mwanaume atakaenicare kwa vitu kama ivo jamani anipe nauli na hela ya lunch ata kama ninayo.i will be broud of him.so wanaume kuweni na moyo wa kuwajali wake zenu
............ma jery...........kwanza nikupe pole kama mpaka sasa kama hujapata wa kuku care,kwa ajili ya lunch,hakika inaonekana huna mvuto,ushauri tuu,anza diet..........kwani haina gharama,
 
Ma weeeeeeeeeeee!

Kuna jamaa yangu ninae hapa job, anatoa huduma zote kwa shemeji ikiwemo private transport na pocket money lakini anachofanyiwa na ma wife wake ni masikitiko makubwa - yaani mama ni mcharuko ile mbaya.

Hapa unasemaje?!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
ehhh makubwa aya so km baba wa family basi ata ped akununulie?ata km unamshahara wako?

KES YA KUFULIA INAJULIKANJA NA WALA AITOKEI DAILY...BT WEWE unamaanisha unamtaka yule mwanaume wa daily asubui...bibieee ehhn chukua ela apo juu ....ukichek kitwenty ivi...na kesho pia akupe,...

badala ya kuwaza kitoto like kupenda upewe tu /utumbue tu pesa za mmeo kwa jina la CARE..ni vyema mkakaaa chini mkapanga woote pesa zenu/zake mzifanyie nini..

like...ths month kwa chakula apa home tutumie sh 8
usafiri sh 5

benk tupeleke sha 5
izi sh 3 tukawanunulie sukari wazaz...

ukfanya ivo utajua kwamba ela inamatumizi na si ya kutoa/ku show off ata km akuna ulazima wa kufanya ivo

NOTE;WAWEZA PEWA PESA NYINGIIII LAKIN UKAWA AUPENDWI....NA PESA SI ISHARA KUJALIWA/SI ISHARA YA CARE


mf....wewe unaumwa unampigia simu mmeo ehh bwana mi nipo hoi naumwa nimerudi home...yeye anajibu ahh ok ebu chukua laki 5 apo juu ya kabat nenda hospital bas mi nipo bar kidogo nakula bata na washikaji ela km aitoshi unambie basi ntakuche badaye km vip....


apo utanambiaje/jamaa kakucare?
shda ako asi pesa umepewa lakin je umeridhika?

PESA SI ISHARA YA CARE MAMA...thk fresh

Dada,nimekukubali wewe kichwa.Maana wanawake wengi ku care wanamaanisha ATM,upuuzi mtupu,siwapendagi dizaini hizo.
 
Back
Top Bottom