Wanaume wachafu msiutumie uchafu wenu kama ndio uanaume

Hapana kwenye boxer hapo sahihi mwanaume lazima uwe nazo mingi kidogo, mfn mimi kila siku navaa boxer ake sabu nko nazo 7 hivyo naepuka mambo ya kuvaa moja mpaka ina change rangi..
Mwingine huyu hapa
 
Mwanaume unaanzaje kupaka mafuta kwenye makalio yako, kwanza unapata picha gani ukianza kupaka mafuta kwenye makalio..
Unachokitafuta utakipata.
 
Vinyweleo vya pua vimewekwa na Mungu kwa kazi maalumu then nivitoe haha

Mwanaume mashine ya ATM isome ukitoa ule mlio wa mashine praaaaaaa usome zaidi ya dakika moja kunuka kutakuwa perfume
 
Mimi mwanaume msafi saana kama mwanamke hatuendani kabisa.
 
Pole mrembo, kwanini unapenda kuwachagua wachafuwachafu?
 
Hapo kwenye boksa siku mbili ndo umeharibu mkuu!

Boksa ni siku moja tu cha kurudia labda ni trouser siyo boksa.
 
Ngoja waje
 
Kwanini wakati usafi ni muhimu?
Sijamaanisha mtu uwe mchafu, awe msafi , kuna neno "saana" pale . Maana anakua mtu kila muda wa kujingalia asiguswe na kitu chochote hata vumbi tuu...
 
Ukorof huooo
 
Hela zao wanapo kuhonga unapokea kwa mikono miwili na kwenda kununulia mkorogo na vijora!

Ukiishiwa tu, basi unakuja humu mbio mbio kuwasimanga! Mwanamke mbaya kabisa wewe.
 
Ukali wa pilipili ndio utamu wenyewe ndugu mleta Uzi..

Uliyosema yana ukweli lakini usafi ni muhimu kiafya.. sio tu kwa watu hata mazingira pia yanatakiwa yawe Safi...

Wanaume wapambanaji(kazi ngumu) huwa wasafi mara tu wanapomaliza kazi zao...otherwise tabia ya mtu ndio itachagua awe msafi au mchafu
 
Kwanza leo ndio nimejua kwamba kumbe matako huwa yanapakwa mafuta 😄😄
 
Wewe ndio mchafu usituhusishe
 
K
Ila usiombe ukakutana na hutu tu madem usajiri no D tunajifanya tusafi nje ila ndani sasa ukikapiga doggy style harufu inayotoka uko pakuchu ni hatari mzee wng kwa hiyo sisi wa kiume tuna uafadhari japo wanapenda kusema tuna nuka pumbu
Kabisa mkuu vidada dada vingi ni vichafh na visenge.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…