Wanaume wachafu msiutumie uchafu wenu kama ndio uanaume

Hapo kwenye boksa siku mbili ndo umeharibu mkuu!

Boksa ni siku moja tu cha kurudia labda ni trouser siyo boksa.

Trust me wanaume wengi tuna boksa tatu au nne wakati kikawaida kila siku inatakiwa boksa yake uanzie kumiliki boksa saba na kuendelea lakini wengi ni tatu nne huo ndio ukweli
 
Wanaume wachafu sana kuliko wote ni wale wanaotembea na kila mwanamke anayekutana naye.
 
Naunga kidole hoja kwa mwanaume kutopaka mafuta kalio fresh,pozi gani kwanza la kupakia mafuta ??,unapandisha juu hapa lazima liwe nene c unaliinua aya sasa jikute au unashusha chini au randomly hapa c litasambaa uwe uno kama lote, mbona haiiji ,Bora lawama vitu vingne co poa,
 
Huu ni ukatili wa kijinsia kabisa huu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…