Wanaume waficha Wallet/pesa wakifika home.why?

Wanaume waficha Wallet/pesa wakifika home.why?

Gaga

JF-Expert Member
Joined
Jan 6, 2011
Posts
4,558
Reaction score
1,970
Leo kabla sijarudi home nilikaa na marafiki kama sita mahala kupoteza muda ,kuna mmoja wetu akasema mume wake kila akifika home anamwangalia kama mkewe kalala na yeye anajifanya kalala. kwa vile giza anamwona mumewe anahangaika kuficha wallet hadi sometimes chini ya kapet, chooni na wakati mwingine chini ya kitanda.

wakiamka asubuhi mke anamwambia mumewe kuna vitu vinahitajika kununua mume anamwoshesha kwenye dressing table kwamba ana kiasi kile tu anachokiona, wakati mwingine akirudi na akianza kukoroma yule dada anaangalia kule alikoficha anakuta anazo pesa, then anaacha vilevile,akiamka akimwambia majukumu majibu ni yaleyale kujifanya hana pesa wakati anazo.

Mimi niliona kitu cha ajabu sababu unafichaje halafu chumbani, kwa nini usiache kwa gari au ofisini.Wadada wawili walimuunga mkono wakasema ni kweli wanaume wengine wanatabia hiyo hadi mmoja wao aliamua kumfundisha adabu mumewe alipoficha tu yeye akachukua zote kulipokucha wanaenda kazini anamwona anatafuta akauchuna hadi jioni ndio alimrudishia na kumwambia amwamini asiwe anafichaficha pesa au wallet
sasa swali langu kwa wanaume wa jf ni kweli huwa mnafanya hivyo? na mnafanya kwa manufaa ya nani?Ni nini kinapelekea mtu kuamua kufichaficha kihivyo
 
Duh tunajifunza kila siku, kweli watu wanaishi maisha ya tofauti, hao kina dada na wenyewe wanafanya kazi au ni mama wa nyumbani.., na je bajeti zao zinaendana na kipato cha waume zao?
 
Haya Gaga ngoja tusubirie watuambie kama ni kweli na kwa nini wanafanya hivyo.
 
Hivi kuna haja gani ya kutembea na kiasi kikubwa kwenye wallet badala ya kuacha benki, unachukua kiasi kidogo tu. ATM ni 24 hrs, tena wengine tunaamua kuwa na account/benki zaidi ya moja, ikikorofisha hii unaenda benki nyingine.

Kwa nini wanaume wanaficha; Unajua kuna wanawake wakiiona mme ana hela basi inakua taabu atatunga matumizi hata ambayo hayakuwepo ili hela imtoke mme.

Mimi sharti langu mke asiniambae kitu kinachohitaji hela kubwa ghafla bali aniambie jioni au asubuhi ili jioni inayofuata nije na hiyo hela. Kwa vitu vya hela ndogo ndogo hamna shida si nakuwa nayo kwenye wallet na wala sifichi.
 
Haya Gaga ngoja tusubirie watuambie kama ni kweli na kwa nini wanafanya hivyo.


Tafadhali naomba uchangie maana kwenye thread fulani umesema wewe ni MWANAUME ila unatuzuga na avatar ya kike
 
Anaficha halafu anapeleka wapi?? hili swali zito ngoja tuwaachie mnaolala wawili!
 
Leo kabla sijarudi home nilikaa na marafiki kama sita mahala kupoteza muda ,kuna mmoja wetu akasema mume wake kila akifika home anamwangalia kama mkewe kalala na yeye anajifanya kalala. kwa vile giza anamwona mumewe anahangaika kuficha wallet hadi sometimes chini ya kapet, chooni na wakati mwingine chini ya kitanda.

wakiamka asubuhi mke anamwambia mumewe kuna vitu vinahitajika kununua mume anamwoshesha kwenye dressing table kwamba ana kiasi kile tu anachokiona, wakati mwingine akirudi na akianza kukoroma yule dada anaangalia kule alikoficha anakuta anazo pesa, then anaacha vilevile,akiamka akimwambia majukumu majibu ni yaleyale kujifanya hana pesa wakati anazo.

Mimi niliona kitu cha ajabu sababu unafichaje halafu chumbani, kwa nini usiache kwa gari au ofisini.Wadada wawili walimuunga mkono wakasema ni kweli wanaume wengine wanatabia hiyo hadi mmoja wao aliamua kumfundisha adabu mumewe alipoficha tu yeye akachukua zote kulipokucha wanaenda kazini anamwona anatafuta akauchuna hadi jioni ndio alimrudishia na kumwambia amwamini asiwe anafichaficha pesa au wallet
sasa swali langu kwa wanaume wa jf ni kweli huwa mnafanya hivyo? na mnafanya kwa manufaa ya nani?Ni nini kinapelekea mtu kuamua kufichaficha kihivyo

Hii kali hahahahahahah miye nilidhani njemba zinaficha pochi zikiwa na CDs tu kumbe hata na wake zao hahahahahahah...Kweli hizi ndoa zina mambo LOL! Sasa ni hapo mke baadaye anainuka anaenda kuhamisha michuzi yote kwenye pochi halafu anakula kobisi hahahahahah...Njemba ikiamka asubuhi na kukuta pochi haina ngawira kutazuka valangati la kufa mtu LOL!

 
Tafadhali naomba uchangie maana kwenye thread fulani umesema wewe ni MWANAUME ila unatuzuga na avatar ya kike

ChapanaloJr unajua kumeza!!! Mmmmmh nitakupm basi tuongee vizuri.
 
Ndoa za siku hizi zina mambo sana. Wanawake wamekuwa hawatabiriki kabisa. Anafanya kazi nawe unafanya kazi ila hela yake huioni. Utasikia tu hana hela baadae unastuka kumbe anamjengea mama yake kwao na nyie hata kiwanja hamna
 
Leo kabla sijarudi home nilikaa na marafiki kama sita mahala kupoteza muda ,kuna mmoja wetu akasema mume wake kila akifika home anamwangalia kama mkewe kalala na yeye anajifanya kalala. kwa vile giza anamwona mumewe anahangaika kuficha wallet hadi sometimes chini ya kapet, chooni na wakati mwingine chini ya kitanda.

wakiamka asubuhi mke anamwambia mumewe kuna vitu vinahitajika kununua mume anamwoshesha kwenye dressing table kwamba ana kiasi kile tu anachokiona, wakati mwingine akirudi na akianza kukoroma yule dada anaangalia kule alikoficha anakuta anazo pesa, then anaacha vilevile,akiamka akimwambia majukumu majibu ni yaleyale kujifanya hana pesa wakati anazo.

Mimi niliona kitu cha ajabu sababu unafichaje halafu chumbani, kwa nini usiache kwa gari au ofisini.Wadada wawili walimuunga mkono wakasema ni kweli wanaume wengine wanatabia hiyo hadi mmoja wao aliamua kumfundisha adabu mumewe alipoficha tu yeye akachukua zote kulipokucha wanaenda kazini anamwona anatafuta akauchuna hadi jioni ndio alimrudishia na kumwambia amwamini asiwe anafichaficha pesa au wallet
sasa swali langu kwa wanaume wa jf ni kweli huwa mnafanya hivyo? na mnafanya kwa manufaa ya nani?Ni nini kinapelekea mtu kuamua kufichaficha kihivyo
Afadhali cc tunaficha fedha na tunahudumia familia, fedha ya mwanamke ukiiona siku hiyo ufanye sherehe.
 
Na kwa nini nyie muangalie kama wanaume wanaficha? jua alishalizwa ndo maana anakuwa makini (sio kuficha)!
 
Natmani nimpate mume wa kuficha pesa zake alafu, nikimchabo tu!! Imekula kwake na lazima ajute kwani mie ndio nitakua nampa kama ni ya matumizi au nauli. Au simpi kabisaaaa!!!! kwa uzembe wake.Ila nitamuambia nimeokota wallet so usinipe pesa ya matumizi mpaka nitakapo kuambia.:clap2:
 
Leo kabla sijarudi home nilikaa na marafiki kama sita mahala kupoteza muda ,kuna mmoja wetu akasema mume wake kila akifika home anamwangalia kama mkewe kalala na yeye anajifanya kalala. kwa vile giza anamwona mumewe anahangaika kuficha wallet hadi sometimes chini ya kapet, chooni na wakati mwingine chini ya kitanda.
wewe unaionekana utakuwa mjinga fulani hivi....zuzu hivi....unapoteza muda? ndio maana unakuja na thread za kishwaini asubuhi asubuhi...shame on u....
.....na mtakuwa watumwa wa wakenya na wahindi mpaka muote sugu makalioni....pambafu kabisa.....
 
Inategemea na mke mwenyewe yukoje maana wengine wana tabia ya kuficha pesa au kuleta mahitaji kibao binafsi akikuta wallet imejaa. Mimi kwa kweli wife wangu anapohitaji pesa namwambia tu kaangalie kwenye wallet maana sina cha kumficha. Tunaplan pamoja maisha na yuko reasonable sana.
 
Hii ya kuficha pesa kwa wanaume inatokana na tabia ya baadhi ya wake zetu,huwa hawana matumizi mazuri ya pesa...hata ukimpa kiasi gani cha pesa zinaisha siku hiyo hiyo,kesho tena atataka nyingine,sasa inabidi kufichiwa ili tena kesho apewe nyingine
 
Anaficha halafu anapeleka wapi?? hili swali zito ngoja tuwaachie mnaolala wawili!

Tatizo wanawake hawajui kama kuna kesho wanataka kutumia pesa yote leo kwa matumizi yasiyo na tija. Tunaficha hizo pesa ili zitumike kesho. Mwanamke anaweza taka kutumia pesa zote leo na kesho akataka pesa nyingine
 
Leo kabla sijarudi home nilikaa na marafiki kama sita mahala kupoteza muda ,kuna mmoja wetu akasema mume wake kila akifika home anamwangalia kama mkewe kalala na yeye anajifanya kalala. kwa vile giza anamwona mumewe anahangaika kuficha wallet hadi sometimes chini ya kapet, chooni na wakati mwingine chini ya kitanda.

wakiamka asubuhi mke anamwambia mumewe kuna vitu vinahitajika kununua mume anamwoshesha kwenye dressing table kwamba ana kiasi kile tu anachokiona, wakati mwingine akirudi na akianza kukoroma yule dada anaangalia kule alikoficha anakuta anazo pesa, then anaacha vilevile,akiamka akimwambia majukumu majibu ni yaleyale kujifanya hana pesa wakati anazo.

Mimi niliona kitu cha ajabu sababu unafichaje halafu chumbani, kwa nini usiache kwa gari au ofisini.Wadada wawili walimuunga mkono wakasema ni kweli wanaume wengine wanatabia hiyo hadi mmoja wao aliamua kumfundisha adabu mumewe alipoficha tu yeye akachukua zote kulipokucha wanaenda kazini anamwona anatafuta akauchuna hadi jioni ndio alimrudishia na kumwambia amwamini asiwe anafichaficha pesa au wallet
sasa swali langu kwa wanaume wa jf ni kweli huwa mnafanya hivyo? na mnafanya kwa manufaa ya nani?Ni nini kinapelekea mtu kuamua kufichaficha kihivyo

Eee Mungu nisaidie nipate garrrrrr,
Niweze ficha hela kwenye garrrrrr,
Manake waifu hana mamlaka na langu garrrrr,
Tunanyanyapaliwa si tusio na magarrrr,

Garrrrrr garrrrrrr garrrrrr garrr yangu.
Nakupenda sana garrr,
sina hela ya kununua garrrr,
naficha hela ili ninunue garrrrr,
Halafu nifiche hela kwenye garrrr.....
 
Eee Mungu nisaidie nipate garrrrrr,
Niweze ficha hela kwenye garrrrrr,
Manake waifu hana mamlaka na langu garrrrr,
Tunanyanyapaliwa si tusio na magarrrr,

Garrrrrr garrrrrrr garrrrrr garrr yangu.
Nakupenda sana garrr,
sina hela ya kununua garrrr,
naficha hela ili ninunue garrrrr,
Halafu nifiche hela kwenye garrrr.....
:first:
 
Back
Top Bottom