Wanaume waheshimiwe milele

Ila mizinga hapana.kwa sababu hizi nyingi hivi!!!!!
Mizinga nje nje.
 
shika ushikwapo, kamata ukamatwapo kama unaelewa hilo, wanawake wengi hawajui hilo. wanaona kama ni haki yao na kuleta jeuri, unapowithdraw ndipo wanaona kheeee....!
luv u mtoa mada. una2mia kinywaji gani?
 
Hivi Huyu Dogo Keshakymiliki?
 
shika ushikwapo, kamata ukamatwapo kama unaelewa hilo, wanawake wengi hawajui hilo. wanaona kama ni haki yao na kuleta jeuri, unapowithdraw ndipo wanaona kheeee....!
luv u mtoa mada. una2mia kinywaji gani?

Asante mkuu kwa kunipenda....ha ha ha natumia dompo
 
hizi sifa yaelekea ulikunwa vizuri siku hiyo..or unatengeneza mizinga cute b,ila kama umemaanisha amen
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…