Wanaume waheshimiwe milele

Wanaume waheshimiwe milele

Kiongozi mito hakika umesema kweli kabisa. Siwezi kuongeza zaidi... atoto ni mbishi funga kazi!!! Lakini pia experience ya bf/gf ni tofauti sana na ndoa!!!

I learned from the best, si unajua ukikaa karibu na waridi lazima unukie.
 
Last edited by a moderator:
Mungu awape maisha marefu wanaume wote duniani...

Wanaume wana roho nzurii jamani....

Nianze na mwanaume mwenye familia yani kaoa...yeye anaenda kazini anamwacha mwanamke amelala anachomeka na jua mwanamke anashinda anaangalia season, mwanaume akirudi hela ni za familia sio zake tena...

...Ukipanda kwenye daladala ukikosa siti anaweza kukupisha na wewe uketi...
.....Mwanaume ukiwa na shida ukimfuata ni rahisi sana kukusaidia.....
......Mkiwa kwenye hatari hawezi kukimbia akakuacha lazima ahakikishe mnachomoka wote mkiwa salama....
......Wana maneno ya busara kwa mfano mahospital ukikutana na docta wa kiume unaweza ukapona hata kabla hujaanza doz...
.....Vita ikitokea hao ndio wanaokwenda kupigana vita ili familia zao ziwe salama....
....Ukipendeza ni wa kwanza kukupa ukweli (hata kama ni uongo) kwa kweli hawabanii sifa....
....Ukitamani mali yake yoyote ni mfano simu, laptop,saa na vingine vingi ni rahisi kukupa na kukuachia mojakwa...
....Jamani wanaume acheni waitwe wanaume tuu wanatuhifandi sana mjini...wanatufichia aibu mjini kwa kutupa hela zao tunavaa tunapendeza huku hao wakiungua na jua...
....Bado kwa upendo walionao juu yetu sisi wanawake wanatupa kuitwa kwa majina yao bure kabisa.... kwa mfano mimi cute b nitaitwa mrs sumbai (maana ndio heshima ya mwanamke yoyote yule)

WANAUME NI WA KUHESHIMIWA JAMANI NI WATU MUHIMU SANA KWETU SISI WANAWAKE.

EE MUNGU NAKUOMBA UWAPE MAISHA MAREFU WANAUME WOTE DUNIANI.
Unaposema "Season" unamaanisha "series" au majira ya mwaka??? Im confused.
 
Kiongozi mito hakika umesema kweli kabisa. Siwezi kuongeza zaidi... atoto ni mbishi funga kazi!!! Lakini pia experience ya bf/gf ni tofauti sana na ndoa!!!

Mbishi kama nini yanim, ukimwambia hivyo (hapo kwa red) anakujibu alishaolewa mara nyingi tu, teh teh!! Huyu sista hata mi mwenyewe nimemshindwa kwa kweli
 
Mh! Hizo sifa sijawah kukutana na mwanaume anazo nahs unawafagilia,, ninao wafaham weng wao

wachoyo / bahir wa pesa ndan ya nyumba ila marafiki na michepuko hupewa bila hata kusugua mdomo kwa kuomba,.

Wasiri wa maendeleo ya ndani ila marafiki wanajua kila atakacho kukifanya,,.

Watachat kote fb, twt, jf, watsp n.k ila wfe hatomkumbuka kwa chatng akiguswa anadai msg zimeisha, vocha hana au am busy.

Wanajua kutumia mda mwing na marafiki kwa kufurah ila akiingia ndan ni siriaz hawataki stori.

Na mengineyo meng sa sijui we hao uwasifiao ni type ya mchepuko.

Hili nalo neno
 
Mbishi kama nini yanim, ukimwambia hivyo (hapo kwa red) anakujibu alishaolewa mara nyingi tu, teh teh!! Huyu sista hata mi mwenyewe nimemshindwa kwa kweli

Jamani my kaka ukinishindwa wewe unadhani nani ataniweza?
 
Teh teh teh........ hizo ni sifa za g/friend au mchepuko lkn sio wife.
 
Back
Top Bottom