Wanaume waheshimiwe milele

Asante! Nawakubali sana MEN kuna vitu Mungu alimewapatia ambavyo ni tofauti na wanawake navyo hudhihirika pindi mwanamke anapokua na kichwa kizuri au hata kichwa kibaya.
 
Ukishaanza kuniambia upuuz heshima niliyokuwa nakuheshimu inapunguaa...
Nilikuwa nakuheshimu ila now hapana...
Rnaona bora kusimama katika ukwel kuliko kuficha moyoni. Hyjaijua kesho we omba uzmab
 
Tena bila pesa hata orgasm sipati hata ukeshe, yaani cha kwanza pesa,cha pili pesa,cha tatu pesa, cha nne pesaaaaaa.......

Sasa nikusifie hivi hivi wakati hujanipa pesa!! Nakusifia kwa lipi kwamfano?

Pesa akuoe,...
 

Hongera....u're so unique woman... Coz kwa nature ya wanawake ni wachache sana ambao wanaweza kufikilia beyond this scope..
 
Kuna kitu umetubania, mbona hujazungumzia jinsi tunavyowapa dyudyu vizuri?
 
Nakuomba pm tafadhali cute b
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…