Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Alipewa dushe vizuri, acha atuthamini!!.....unatuthamini wanaume kupita uwezo
chunga mdomo wako, wengine shemeji zako hapaAlipewa dushe vizuri, acha atuthamini!!.....
Siku ukiwa shemeji yangu nitajisulubisha msalabani kichwa chini mkuu!!chunga mdomo wako, wengine shemeji zako hapa
Ha Haaaa haaa.....Cute b, if dont have a car...ni pm nitakupa ist yangu for 300,000/=
Namba C. You made my day
awe mara ngapi sasa? wewe utaishia kula makomboSiku ukiwa shemeji yangu nitajisulubisha msalabani kichwa chini mkuu!!
Roho inakudunda kwa mbali mkuuHa Haaaa haaa.....
Labda ingekuwa murano....
Hebu nipe mfano wa hilo kombo na ikiwezekana tupia picha kabisa ili ulimwengu uelewe unachoongea mkuu!!awe mara ngapi sasa? wewe utaishia kula makombo
Kwa mbali saana. Ila najiaminiRoho inakudunda kwa mbali mkuu
nisalimie makapuku woteKwa mbali saana. Ila najiamini
Sawa mkuu. Kapuku tunalisongesha taratibunisalimie makapuku wote
Hahahaha nyie ni watu muhimu atiii.unatuthamini wanaume kupita uwezo
Bahati iliyoje..Cute b, if dont have a car...ni pm nitakupa ist yangu for 300,000/=
Namba C. You made my day
Sana yanii sanaAlipewa dushe vizuri, acha atuthamini!!.....
Wow asanteee jaman..nakupenda pia.Cute b katika ubora wake hapa nimekupenda sana kwa kweli i love you sana mwaaa!