Wanaume waheshimiwe milele

Akili hii siyo yako Mungu kakufunulia
 
Wapi eti wanakupisha ukae kwenye siti 😄😄😄
Waheshimiwe daima .
Ukitaka upigwe mpaka uzirai fanya hivyo unavyosema.
Kumweshimu kuanze kwao kwanza.
Heshimu yule anayekuheshimu nakukudhamini.
 



Ahsante!
 
Mwaka wa 2000 Kaboom ulikuwa umeshazaliwa kweli? Hahahahaha eti mmetulia[emoji23][emoji23][emoji23] .
Sisi Mapenzi yetu bado mabichii ndiyo kwanza tumiaka tuwili tuu. Yakishazeeka kama yenu tutaacha.
Upo kweli shemeji?
Teh teh..Mi muhenga shem..Nipo sana..Naona penzi bichi limekuficha..
 
Unadate na wanaume wa dar uku kwetu hata gesti hamna kijiji kizima tunajuana saa ngapii utaenda kwa mchepuko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…