Wanaume waheshimiwe milele

Wanaume waheshimiwe milele

That really. She had a super sex last night and she enjoys lots that way.

Hahahaaaaaa jamani haya bhanaaa....
Ila hizi sifa sio za wanaume? ? Hampendi kuombewa eee?
 
yote yanafanyika bila shida but Hilo la kupisha siti kwenye daladala nikiwa mikoani nafanya lakini DSM sithubutu,unaweza ukasimama na kuna Bonge la foleni mpaka miguu inazama tumboni
 
waheshimiwe wale wanaostahili hizo heshima, na kwakweli kuna wanaume na waheshimiwe haswaaaa, maana they makes this life veryyyyy meaningfull.
 
Ha haaa.....
Usijali kabisaa ntawaalika wote ibra87 na missyrose wajee.....

Pia sitamsahau mdogo wangu puppa
Hapo kwa Misyrose Umenifanya Nimesmile.

Amenikamata na Kunishika mpaka hata makoloni Yangu nimeshayasahau.

kabla ya Harusi Yenu mkumbuke kupima HIV Maana kwa Mienendo ya Sumbai kuhusu mipango ya Pembeni ni Hatari
 
Last edited by a moderator:
yote yanafanyika bila shida but Hilo la kupisha siti kwenye daladala nikiwa mikoani nafanya lakini DSM sithubutu,unaweza ukasimama na kuna Bonge la foleni mpaka miguu inazama tumboni

Ha ha haaa
 
Hapo kwa Misyrose Umenifanya Nimesmile.

Amenikamata na Kunishika mpaka hata makoloni Yangu nimeshayasahau.

kabla ya Harusi Yenu mkumbuke kupima HIV Maana kwa Mienendo ya Sumbai kuhusu mipango ya Pembeni ni Hatari

Hahahaaa hamna haja ya kupima endapo kila siku tuna duu hahahaa
Cc sumbai
 
Last edited by a moderator:
Hapo kwa Misyrose Umenifanya Nimesmile.

Amenikamata na Kunishika mpaka hata makoloni Yangu nimeshayasahau.

kabla ya Harusi Yenu mkumbuke kupima HIV Maana kwa Mienendo ya Sumbai kuhusu mipango ya Pembeni ni Hatari

Mkuu ulipima kabla ya...!

Sijawahi kuwa na mienendo ya kando, siwezi kuwa nayo, sitaaweza kuwa nayo.
Nitakuwa muaminifu daima kwa cute b
Mungu nisaidie
 
Last edited by a moderator:
👏👏👏👏👏👏👏👏
 
Back
Top Bottom