stow away
JF-Expert Member
- Dec 5, 2022
- 11,073
- 21,945
Mnarogaje hapo?Wale mnao nipopoa mbona wanaume wengi tu wametulizwa sioni ajabu kwangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnarogaje hapo?Wale mnao nipopoa mbona wanaume wengi tu wametulizwa sioni ajabu kwangu
Safi sana. Mimi ni mwanamme lakini nakuunga mkono, loga! Si ajabu huyo mwanamme ndiye aliyenifanya niachane na ex wangu kwani alikuwa anaingia mpaka chumbani. 🤣 🤣Bado tupo tunadunda hapa ni kifo ndio kitatutenganisha sio michepuko
Utaloga ufe wewe hahaSo sad, sijawahi kuwaza kufanya hivi ila hapa nilipofika sina namna, otherwise nachanganyikiwa bure. Huu ni mwaka wa tatu wa ndoa, na miaka miwili ilikuwa ya furaha na amani hadi mwaka wa tatu ulipoanza, nimeona mapicha picha ya kila namna kutoka kwa huyu mwanaume.
Nimekonda nimechakaa kiufupi sina nuru hata biashara na kazi zangu zimeyumba sana. Miaka mitatu ya ndoa sijawahi kuchepuka hata kuwa na ukaribu na mwanaume yoyote, namuheshimu mume wangu.
Ni mwanamke ambae mwaka mmoja uliopita hata ungeniletea ushahidi mume wangu anachepuka nisingekuamini, namna nilivyokuwa na imani nae[emoji28].
Sasa kwa matukio ninayopigwa toka mwaka jana kufuma nguo za wanawake, condom na takataka nyingi kwa huyu mume amenifanya moyo kuwa mgumu, kila unapomfuma anakumbembeleza lakini baada ya week chache mambo ni yale yale.
Nimeamua sasa ni deal nae kwa namna nyingine, maana sasa nashindwa ku concentrate na mambo yangu mengine ya muhimu.
Ni kweli hakuna mwanaume asiechepuka nimekubali, Ila kuna wanawake hatuwezi kuvumilia huu ujinga bora awe ndondocha kuliko haya maumivu.
Nimempiga makombora matatu makali, moja kafungwa kwenye chupa hatakuwa na kauli kwa lolote kuanzia sasa, ataona wanawake wengine ila ataniwaza mimi tu na hatosimamisha kwa mwanamke mwingine.
Nampenda sana mume wangu ila tabia zake zimetufikisha hapa. Wanaume kuweni makini, nyie ndio mnatubadili tabia zetu kwa matendo yenu.
Haya wale wa mapovu mje mnipopoe, ila for once toka mwaka uanze nimepata amani ajabu, kuanzia sasa mume ni wangu peke angu.
UPDATE 1
Imetimia mwezi na week mbili toka zoezi langu,nyumba ina amani sana,yani mwanaume ule ubabe na ukorofi hamna tena ni kama mtu mpya ni full mahaba,mkituona kama teens anyway nimefurahi angalau mambo ya maendeleo yameanza kufanyika,naambiwa kila kitu na access ya pesa ninayo full amani na furaha,nitaendelea kuwajuza hili sakata hadi mwisho.
Wale mnao nipopoa mbona wanaume wengi tu wametulizwa sioni ajabu kwangu
Kuna wanawake ukianza kumla lazima akuharibie mahudiano.Safi sana. Mimi ni mwanamme lakini nakuunga mkono, loga! Si ajabu huyo mwanamme ndiye aliyenifanya niachane na ex wangu kwani alikuwa anaingia mpaka chumbani. 🤣 🤣
Hivi we si unakula mke wa mtu au?😂😂😂Mahondaw sweetheart please usije ukanipiga tukio kama hizi za kufungana kwenye chupa...
Nikimgundua hakuna hata sekunde ya kupotezaWanaume tujiepushe na Wanawake washirikina kama mtoa mada
Ukimgundua hata kama umezaa naye watoto 4 mpe talaka
Kabisa MkuuNikimgundua hakuna hata sekunde ya kupoteza
Shukuru anatumia condom. Maana pale kati usipo mkumbuka mkeo huwezi vaa kondom kabisa kumlinda.So sad, sijawahi kuwaza kufanya hivi ila hapa nilipofika sina namna, otherwise nachanganyikiwa bure. Huu ni mwaka wa tatu wa ndoa, na miaka miwili ilikuwa ya furaha na amani hadi mwaka wa tatu ulipoanza, nimeona mapicha picha ya kila namna kutoka kwa huyu mwanaume.
Nimekonda nimechakaa kiufupi sina nuru hata biashara na kazi zangu zimeyumba sana. Miaka mitatu ya ndoa sijawahi kuchepuka hata kuwa na ukaribu na mwanaume yoyote, namuheshimu mume wangu.
Ni mwanamke ambae mwaka mmoja uliopita hata ungeniletea ushahidi mume wangu anachepuka nisingekuamini, namna nilivyokuwa na imani nae[emoji28].
Sasa kwa matukio ninayopigwa toka mwaka jana kufuma nguo za wanawake, condom na takataka nyingi kwa huyu mume amenifanya moyo kuwa mgumu, kila unapomfuma anakumbembeleza lakini baada ya week chache mambo ni yale yale.
Nimeamua sasa ni deal nae kwa namna nyingine, maana sasa nashindwa ku concentrate na mambo yangu mengine ya muhimu.
Ni kweli hakuna mwanaume asiechepuka nimekubali, Ila kuna wanawake hatuwezi kuvumilia huu ujinga bora awe ndondocha kuliko haya maumivu.
Nimempiga makombora matatu makali, moja kafungwa kwenye chupa hatakuwa na kauli kwa lolote kuanzia sasa, ataona wanawake wengine ila ataniwaza mimi tu na hatosimamisha kwa mwanamke mwingine.
Nampenda sana mume wangu ila tabia zake zimetufikisha hapa. Wanaume kuweni makini, nyie ndio mnatubadili tabia zetu kwa matendo yenu.
Haya wale wa mapovu mje mnipopoe, ila for once toka mwaka uanze nimepata amani ajabu, kuanzia sasa mume ni wangu peke angu.
UPDATE 1
Imetimia mwezi na week mbili toka zoezi langu,nyumba ina amani sana,yani mwanaume ule ubabe na ukorofi hamna tena ni kama mtu mpya ni full mahaba,mkituona kama teens anyway nimefurahi angalau mambo ya maendeleo yameanza kufanyika,naambiwa kila kitu na access ya pesa ninayo full amani na furaha,nitaendelea kuwajuza hili sakata hadi mwisho.
Wale mnao nipopoa mbona wanaume wengi tu wametulizwa sioni ajabu kwangu
Mmeanza kutagiana tena mweee inaonekana ww mahandow mtam sana bro karud tenaKuna Wanasema sharing is caring [emoji1783][emoji1783][emoji1783][emoji1783]!
Mungu atupushie majonjwa[emoji119][emoji119][emoji119]
cc Smart911
Sisi wakurya huwa hatujiulizi mara 2Kabisa Mkuu
Ukishawekwa kwenye Chupa wewe sio Mwanaume Tena, yaani uanaume wako wote anauchukua yeye si ufala huo
Kitu kizuri kula na wenzioKula mke wa mtu ni laana, wanaume wa kikurya tukionaga hili hasira zinaning'inia
Utakubali nimle mkeo? Kuwa mkweliKitu kizuri kula na wenzio
Ya wenyew waachie wenyew alaf usicomplicate sana maisha uyo mwanamke mmejuana ukubwani na haukumkuta bikra so kitulize jombiUtakubali nimle mkeo? Kuwa mkweli
Kitu chenyewe hujakiumba wewe, kikiliwa hakiishi, ya nn kujipa pressure.Ya wenyew waachie wenyew alaf usicomplicate sana maisha uyo mwanamke mmejuana ukubwani na haukumkuta bikra so kitulize jombi
Kwa kweli MkuuSisi wakurya huwa hatujiulizi mara 2
So sad, sijawahi kuwaza kufanya hivi ila hapa nilipofika sina namna, otherwise nachanganyikiwa bure. Huu ni mwaka wa tatu wa ndoa, na miaka miwili ilikuwa ya furaha na amani hadi mwaka wa tatu ulipoanza, nimeona mapicha picha ya kila namna kutoka kwa huyu mwanaume.
Nimekonda nimechakaa kiufupi sina nuru hata biashara na kazi zangu zimeyumba sana. Miaka mitatu ya ndoa sijawahi kuchepuka hata kuwa na ukaribu na mwanaume yoyote, namuheshimu mume wangu.
Ni mwanamke ambae mwaka mmoja uliopita hata ungeniletea ushahidi mume wangu anachepuka nisingekuamini, namna nilivyokuwa na imani nae[emoji28].
Sasa kwa matukio ninayopigwa toka mwaka jana kufuma nguo za wanawake, condom na takataka nyingi kwa huyu mume amenifanya moyo kuwa mgumu, kila unapomfuma anakumbembeleza lakini baada ya week chache mambo ni yale yale.
Nimeamua sasa ni deal nae kwa namna nyingine, maana sasa nashindwa ku concentrate na mambo yangu mengine ya muhimu.
Ni kweli hakuna mwanaume asiechepuka nimekubali, Ila kuna wanawake hatuwezi kuvumilia huu ujinga bora awe ndondocha kuliko haya maumivu.
Nimempiga makombora matatu makali, moja kafungwa kwenye chupa hatakuwa na kauli kwa lolote kuanzia sasa, ataona wanawake wengine ila ataniwaza mimi tu na hatosimamisha kwa mwanamke mwingine.
Nampenda sana mume wangu ila tabia zake zimetufikisha hapa. Wanaume kuweni makini, nyie ndio mnatubadili tabia zetu kwa matendo yenu.
Haya wale wa mapovu mje mnipopoe, ila for once toka mwaka uanze nimepata amani ajabu, kuanzia sasa mume ni wangu peke angu.
UPDATE 1
Imetimia mwezi na week mbili toka zoezi langu,nyumba ina amani sana,yani mwanaume ule ubabe na ukorofi hamna tena ni kama mtu mpya ni full mahaba,mkituona kama teens anyway nimefurahi angalau mambo ya maendeleo yameanza kufanyika,naambiwa kila kitu na access ya pesa ninayo full amani na furaha,nitaendelea kuwajuza hili sakata hadi mwisho.
Wale mnao nipopoa mbona wanaume wengi tu wametulizwa sioni ajabu kwangu