Wanaume wakati mwingine mnataka tuwaroge

Utaloga ufe wewe haha
 
Safi sana. Mimi ni mwanamme lakini nakuunga mkono, loga! Si ajabu huyo mwanamme ndiye aliyenifanya niachane na ex wangu kwani alikuwa anaingia mpaka chumbani. 🤣 🤣
Kuna wanawake ukianza kumla lazima akuharibie mahudiano.
Kuna demu ilikuwa kila nikiwa naye lazima aache alama kuwa slikuwa nami.

Mara aache miwani.
Mara aache rasta kwa gari
Mara aache kipochi siti za nyuma.

Yaani wanawake wengine ukianza kuwa naye lazima akuharibie barabara kuu.
 
Wanaume tujiepushe na Wanawake washirikina kama mtoa mada

Ukimgundua hata kama umezaa naye watoto 4 mpe talaka
 
Shukuru anatumia condom. Maana pale kati usipo mkumbuka mkeo huwezi vaa kondom kabisa kumlinda.
 


Ni sawa, ila baada ya mda mganga atatakaa dawa aingize ukeni kwako ili ifanye kazi, ndo utaelewa kwa shetani hakuna furaha ya kudumu, au ndugu zake watahisi na wao waende ku un do, utakuja kuteseka sana huko mbele.
 
Last seen 22/12/2024 ..

Madawa yamebumbuluka ? Mana najuaga hua Zina expire na wakat mwingine hata kabla huja renew unakamatika au unaweza pata tatizo kubwa...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…