Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wengine tunapenda vidogo kuliko dole gumba,vina raha yake ati.....mimi hii mitarimbo wala siipendi.....l.o.l:hand:
yeye ndo anavyoona,mi kwa kuwa nawafahamu wanaume wa kiafrica na hasa wa kitanzania zaidi nakubaliana nae kuwa wengi wao wanakwenda nje ya ndoa zao,imefika hatua sasa si kitu cha ajabu tena......wanaume wa mabara mengine wapo wanakwenda nje ya ndoa lakini hawajafikia wa kiafrika.....hapa hata kwa risasi sikanushi....l.o.l
Tatizo la Wanawake mmekuwa "hypotinized" na tamaduni ambazo hamzijui...
Siyo Tanzania tu - bali DUNIA nzima - Kila mwanaume aliye katika ndoa ni LAZIMA atoke nje ya ndoa yake - That is natural!
Lazima mwanaume awe na wanawake zaidi ya mmoja wanaoweza kutimiza haja zake za mwili at any given time "t"!
blah blah