Nahisi wewe ni muhanga na unavumilia ama umehadisiwa na shoga wako?
nilikuwa muhanga.....kikombe hicho kikaniepuka.....hela ya sabuni za kufua mashuka zenyewe alikuwa hatoi.....yeye,pombe na baamedi.....:wink2:
inabidi nikutafute utulize mzuka kwangu siye wa soida/juisi bwana tunakojoa uji tu tena usiotiwa chachu
Heeeeee, uko wapi mwenzetuwanakera sana, they are :A S-devil4:
Sirudi Bongo ng'o:msela::msela:hapa nimeshafika
walevi wanatofautiana ukiona hivo hao pombe zimewashinda.
Heeeeee, uko wapi mwenzetu
wanakera sana, they are :A S-devil4:
Heeeeee, uko wapi mwenzetu
kuna uweli....na wengine wanafanya zaidi ya kukojoa.......watapike,maugomvi na kukosekana amani nk......kazi kweli kweli
Unatutaka ugonvi sasa.......
nilikuwa muhanga.....kikombe hicho kikaniepuka.....hela ya sabuni za kufua mashuka zenyewe alikuwa hatoi.....yeye,pombe na baamedi.....:wink2: