Mimi pia nimesoma seminary, niwakumbushe tu kuwa enzi za Mwl. J.K.Nyerere aliwahi kuzitaka seminary zichukue na Waisilamu sio Wakristu pekeee ili nao wapate zile faida ambazo wenzao wanapata na walipokataa kwa madai kuwa seminary ni kwa ajili ya kuandaa Mapadri naye akakataa kupokea form 5 kutoka seminary. Ilikuwa hivyo mpaka alipokuja kugundua kuwa amepoteza manpower ya muhimu serikalini ndiyo akarudisha..i tell you viongozi wengi waandamizi walio katika sector nyeti za serikali ni product ya seminary.[emoji1] [emoji1] [emoji1] hapo kwenye usinitch... yamkini ni kwa sababu shule hizo ni singo sana.
Ninachojua ni kuwa wanaishi maisha ya kinafiki sana, wanajifanya wema mbele za watu kumbe mbwa mwitu, mwisho wao huwa ni mbaya sanasana wanakurupukia mpenzi, na baadae wengi wanakufa Kwa ngoma maana huwa wanafanya hayo mambo Kwa siri.
azima na mawani mkuu uwe na majicho manneYaani majicho hata hayaamini matukio.
Bbi kulikoni unashika kichwa??? Umemfumania babu nn?? Maana hyu bbu yangu ni mwingi wa matukio....anataka kufanana na bashite kwa matukio[emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134]
KabisaaaKabisaa
Kwanza wana nidham ya uoga saana. Unawakumbuka kipindi cha amsha amsha???? Wanakuwa snitch
Wakifika chuo wanakuwa na ulimbukeni
Fulani hivi kwa wanawake.
Kusema kweli ni Usemi tu wa watu wengi kuwa wanaamaadili mazuri ila Ukweli ni kwamba Maadili mazuri hutokana na mtu mwenyewe sio lazima awe amesoma Seminary maana pia huko Seminary kuna mambo mengi sana ya Ajabu.Naomba kuuliza jamani, hivi wanaume waliosoma seminari wanasifa zipi na hasa inapokuja suala la wao kuwa baba ktk familia. Nimewahi msikia mtu mmoja akimwambia mwanamke aliye olewa na kijana aliyewahi soma shule za seminari kuwa amshikilie sana, sasa sikuelewa. Hivi hawa vijana wanasifa zipi hasa...?
Mie si nilikuambia mie aunty yako ukakataa, haya chacha leo nimetambulishwa wifi yangu kuwa ni bibi kasie, kwahiyo huyo ndio bibi yako, tena bibi haswaaaa.Bbi kulikoni unashika kichwa??? Umemfumania babu nn?? Maana hyu bbu yangu ni mwingi wa matukio....anataka kufanana na bashite kwa matukio
CC😀aby[emoji125] [emoji125] [emoji125]
Hey, mamy wifi yako alikuwa anakuuliziaAbee Daby..... Rabeka ..........
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]wamejihusisha zaidi na mikono na punyeto ...mazoba zoba
Acha upotoshaji , katika vitu vinavyofuatiliwa ni pamoja na kuwa smart, nakumbuka wakati tupo pre form one, masista walikuwa wanafanya kazi ya kutufundsha jinsi ya kupangilia vitu vyetu, hususani kutandika vitanda vyetu vizuri na kwa usahihi.Mapungufu
Kupuuzia mambo mfano ukiugua ukiwa na msiba unaweza sema hajali
Kutokana na mafunzo wanayofundishwa NALO HILO LITAPITA
so they blv nathing.last forever inawafanya kutojali saana matatizo yao.na ya wengine
Pili ni ulafulafu kutupa nnguo hovyo.ndani kukaa wanaume watupu.mda.mrefu kunawapunguzia unadhifu ndani.anaweza tupa tupa.nguo sox viatu. nk
Mwisho ulevi japo sio wote
Ooh nipoo msalimie sana wifi wa mie.Hey, mamy wifi yako alikuwa anakuulizia