Ila wamekutana wote wabadilishji, kwahiyo uweke tu kumbukumbu vizuri.Tatizo hakawii kuchuja kesho utasikia ana mwingine
Aaaah mi mbn najuaa na walia tu buyu... Babu mwenyewe nishaanzs kuwa na mashaka nae ...mama yang alisingiziwa babaIla wamekutana wote wabadilishji, kwahiyo uweke tu kumbukumbu vizuri.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Aaaah mi mbn najuaa na walia tu buyu... Babu mwenyewe nishaanzs kuwa na mashaka nae ...mama yang alisingiziwa baba
Hivi hauolewi tu wewe mjukuu wenzako wote ulocheza nao wamekwisha olewaAaaah mi mbn najuaa na walia tu buyu... Babu mwenyewe nishaanzs kuwa na mashaka nae ...mama yang alisingiziwa baba
Unamfundisha mtoto tabia mbaya[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Umeona eeeh!!
Hapa kuna ualakini.
Hebu muache mtoto huko, aolewe agundue nini!!!Hivi hauolewi tu wewe mjukuu wenzako wote ulocheza nao wamekwisha olewa
Akiwa na tabia mbaya basi ujue kaiga kwa bibi na babu yake.Unamfundisha mtoto tabia mbaya
Anasumbua saana. Asije akaleta laana kwenye ukoo.Hebu muache mtoto huko, aolewe agundue nini!!!
Haha.Akiwa na tabia mbaya basi ujue kaiga kwa bibi na babu yake.
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Hakuna laana kwenye ukoo wetu, labda uulete wewe maana mmmh!!Anasumbua saana. Asije akaleta laana kwenye ukoo.
Haha.
Sister unachokitaka kipo jikoni endelea tu.
Ujue furaha yangu ni yako pia sis.Hakuna laana kwenye ukoo wetu, labda uulete wewe maana mmmh!!
Ninachokitafuta kipi tena mdogo wangu?
Hahaaaa!! Kama kweli unalijua hilo basi usinilazimishe kumuita bibi yangu wifi.Ujue furaha yangu ni yako pia sis.
[emoji16][emoji16] nacheka ila yananiuma saanaHahaaaa!! Kama kweli unalijua hilo basi usinilazimishe kumuita bibi yangu wifi.
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Yakuume kidogo ili ujiongeze.[emoji16][emoji16] nacheka ila yananiuma saana
KBS shangazi yangu ualakini upo tena si mdogo[emoji4][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Umeona eeeh!!
Hapa kuna ualakini.
Wewe babu uliniambiaje nimepende tu pesa sasa huko kuolewa tena Leo umekutoa wapi......si uliniambia nikikosa wakunioa hat linini lile la mpira nitatumia. Di.......****Hivi hauolewi tu wewe mjukuu wenzako wote ulocheza nao wamekwisha olewa
Umeona eeeh!! Kwakweli kwa hilo atusamehe tu. Ukoo umegoma, hilo janga lake mwenyewe.KBS shangazi yangu ualakini upo tena si mdogo[emoji4]
Achana na babu yako bwana, kama dili ye mbona hajaoa anahangaika na vibibi tu.Wewe babu uliniambiaje nimepende tu pesa sasa huko kuolewa tena Leo umekutoa wapi......si uliniambia nikikosa wakunioa hat linini lile la mpira nitatumia. Di.......****
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Umeona eeeh!! Kwakweli kwa hilo atusamehe tu. Ukoo umegoma, hilo janga lake mwenyewe.
Achana na babu yako bwana, kama dili ye mbona hajaoa anahangaika na vibibi tu.
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Mimi sijasoma seminary but nilisoma Bible knowledge O level na Divinity advanced level..Nikajifunza mengi kuna muda nili interact nao ...kwa kweli ni wengi ni vijana wenye tabia njema,, hata ikitokea kuanguka ni rahisi sana kwa waseminarist kumtafuta Mungu na kujirudi maana msingi upoNaomba kuuliza jamani, hivi wanaume waliosoma seminari wanasifa zipi na hasa inapokuja suala la wao kuwa baba ktk familia. Nimewahi msikia mtu mmoja akimwambia mwanamke aliye olewa na kijana aliyewahi soma shule za seminari kuwa amshikilie sana, sasa sikuelewa. Hivi hawa vijana wanasifa zipi hasa...?