Wanaume waliosoma seminari

[emoji3] [emoji3] [emoji3]
St. Calori dormitory ilikua niya ubundi, pafu na madeal ya wali na dagaa wa swea na kama mpo smart mnajpatia deal la maziwa pale zizin[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
..hHaja mbona ume sahau na LAYER ile mafuta inayopikwa na mazaga zaga mengi kama vitunguuuu tangawizi hahahahha
 
Nenda uendako mtu yeyote aliyesoma seminari hata awe mhuni vipi hawezi kuwa,katili wana hofu ya Mungu.
Atafanya ubaya vyovyote vile ila mwisho huomba msamaha.
Zamani waliopitia seminari waliipata kazi bila kupitia interview.
Mwanafunzi akivuka form two seminari hawezi fukuzwa kirahisi ni hatua mkubwa.
Misa masaa 24 hadi magoti yanaota sugu.
 
..hHaja mbona ume sahau na LAYER ile mafuta inayopikwa na mazaga zaga mengi kama vitunguuuu tangawizi hahahahha
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] layer ya nguruwe ilikua hatar kwa harage la mzee Antony
 
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] layer ya nguruwe ilikua hatar kwa harage la mzee Antony
...hahaha na ma_beans ya mzee wakwetu .. .na kashekuro...,,,dah illilikuwa tamuu sana asee
 
Sisi tuliopitia seminari lakini hatukufanikiwa Kuwa mapadri tunajulikana kama mapadri kivuli.
Mimi nilisoma bihawana Junior seminary Dodoma,
Kiukweli wengi tuliopitia seminari na kutokuwa mapadri Ni watu waaminifu sana na tunaojua kutunza siri, wote ni watu tunaomjua Mungu na kumuamini wote ni mababa bora, wanaojali Sana familia, Ila ni watu ambao hawapendi ujingaujinga, uongouongo na mambo kama hayo.
Ndio maana hata TISS wanawapa upendeleo kwenye ajira.
Wengi wetu ni wazito sana kufukuzia mademu hatunauvumilivu wa kumsikilizia demu na zilesitaki na taka.
Mimi binafsi hapa sina demu kama kuna mdada atataka Kuwa na padri kivuli kama mimi mchakarikaji na muajiriwa serikalini anakaribishwa naishi dsm
 
Wahuni mno wanaweza kutembe na binti na mamaye nina kama wawili najua wamefanya hivyo
 
Nyie ndo mpo na kiwanda cha wine [emoji3] [emoji3] [emoji3]

Sent from my SM-J110F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…