..hHaja mbona ume sahau na LAYER ile mafuta inayopikwa na mazaga zaga mengi kama vitunguuuu tangawizi hahahahha[emoji3] [emoji3] [emoji3]
St. Calori dormitory ilikua niya ubundi, pafu na madeal ya wali na dagaa wa swea na kama mpo smart mnajpatia deal la maziwa pale zizin[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
True.wengi wao waliandaliwa kua ma padre so ni wageni kwenye mapenzi
Adcance:Feb 2008hey mwaka gani uliua pale nyegezi!?
Baadae mkishashiba mnaenda nganza eh!..hHaja mbona ume sahau na LAYER ile mafuta inayopikwa na mazaga zaga mengi kama vitunguuuu tangawizi hahahahha
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] layer ya nguruwe ilikua hatar kwa harage la mzee Antony..hHaja mbona ume sahau na LAYER ile mafuta inayopikwa na mazaga zaga mengi kama vitunguuuu tangawizi hahahahha
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Nenda uendako mtu yeyote aliyesoma seminari hata awe mhuni vipi hawezi kuwa,katili wana hofu ya Mungu.
Atafanya ubaya vyovyote vile ila mwisho huomba msamaha.
Zamani waliopitia seminari waliipata kazi bila kupitia interview.
Mwanafunzi akivuka form two seminari hawezi fukuzwa kirahisi ni hatua mkubwa.
Misa masaa 24 hadi magoti yanaota sugu.
okay dah mbali kidogoAdcance:Feb 2008
Vipi wewe hujasoma huko kweeliNachojua mimi ni wapiga punyeto wa kutupwa.
......futa hizo fikra weweBaadae mkishashiba mnaenda nganza eh!
HahahaLoving caring n very trustful... Nimepitia seminary trust me
Kwqni napiga punyeto.Vipi wewe hujasoma huko kweeli
Kweli mkuu mie ile hali ya upadre inatufanya kuwa raia wemawengi wao waliandaliwa kua ma padre so ni wageni kwenye mapenzi
...hahaha na ma_beans ya mzee wakwetu .. .na kashekuro...,,,dah illilikuwa tamuu sana asee[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] layer ya nguruwe ilikua hatar kwa harage la mzee Antony
Hahaaaa lilikua ni kosa kama la kukutwa na meno ya temboBaadae mkishashiba mnaenda nganza eh!
[emoji12]Mmmmmmh
Enzi zetu ilikuwa ndo ratiba ya kila jpili evining walkHahaaaa lilikua ni kosa kama la kukutwa na meno ya tembo
Nyie ndo mpo na kiwanda cha wine [emoji3] [emoji3] [emoji3]Sisi tuliopitia seminari lakini hatukufanikiwa Kuwa mapadri tunajulikana kama mapadri kivuli.
Mimi nilisoma bihawana Junior seminary Dodoma,
Kiukweli wengi tuliopitia seminari na kutokuwa mapadri Ni watu waaminifu sana na tunaojua kutunza siri, wote ni watu tunaomjua Mungu na kumuamini wote ni mababa bora, wanaojali Sana familia, Ila ni watu ambao hawapendi ujingaujinga, uongouongo na mambo kama hayo.
Ndio maana hata TISS wanawapa upendeleo kwenye ajira.
Wengi wetu ni wazito sana kufukuzia mademu hatunauvumilivu wa kumsikilizia demu na zilesitaki na taka.
Mimi binafsi hapa sina demu kama kuna mdada atataka Kuwa na padri kivuli kama mimi mchakarikaji na muajiriwa serikalini anakaribishwa naishi dsm