Sisi tuliopitia seminari lakini hatukufanikiwa Kuwa mapadri tunajulikana kama mapadri kivuli.
Mimi nilisoma bihawana Junior seminary Dodoma,
Kiukweli wengi tuliopitia seminari na kutokuwa mapadri Ni watu waaminifu sana na tunaojua kutunza siri, wote ni watu tunaomjua Mungu na kumuamini wote ni mababa bora, wanaojali Sana familia, Ila ni watu ambao hawapendi ujingaujinga, uongouongo na mambo kama hayo.
Ndio maana hata TISS wanawapa upendeleo kwenye ajira.
Wengi wetu ni wazito sana kufukuzia mademu hatunauvumilivu wa kumsikilizia demu na zilesitaki na taka.
Mimi binafsi hapa sina demu kama kuna mdada atataka Kuwa na padri kivuli kama mimi mchakarikaji na muajiriwa serikalini anakaribishwa naishi dsm