Wanaume waliosoma seminari

Wanaume waliosoma seminari

Wanatabia kuu mbili washamba au wana mawenge,mapepe
bt they are so loving and caring men ever ukipata ilo group la kwanza wakwelii wana bidii washaurii wazurii
group la pili wanakuwa kama ndo wamezibuka ukubwani wanaboa kinyamawana mambo ya ajabu ajabu, kama ndo wako balehe, wambea wasengenyaji washobokaji wa ovyo kabisaa
SPEAKING FROM EXPIRIENCE
 
Naomba kuuliza jamani, hivi wanaume waliosoma seminari wanasifa zipi na hasa inapokuja suala la wao kuwa baba ktk familia. Nimewahi msikia mtu mmoja akimwambia mwanamke aliye olewa na kijana aliyewahi soma shule za seminari kuwa amshikilie sana, sasa sikuelewa. Hivi hawa vijana wanasifa zipi hasa...?
Ni wakarimu, waaminifu, wachaMungu, hodari wa kazi, wanaojituma na wanyeyekevu. Ukiwaajiri hawahitaji kusimamiwa na katika familia ni wababa wa kuigwa....
 
Ni kweli usimuache mwanaume kama huyo kwani hutohitaji tena limbwata
 
Mimi nilisomaga kuanzia form one to six. nilipoingia chuo mwaka wa mwisho akili zilifyetuka baada ya kuonja papuchi.

japokuwa nafanya kazi lakini naona sijatulia kwa kweli. mimi na wanawake yaani ni kutongoza mwanzzo mwisho. kwa siku naweza kutongoza kama wanawake 5, wa rika tofauti.

nilikuwaga na mpenzi wangu wa kwanza ambaye yeye ndo aliniapproach tukakaa miaka minne. tulikuwa tuna mipango mingi sana na alikuwa mwanamke bora kwa mimi kukutana naye. alikuwa mshaurii wangu mzuri sasa baada ya mimi siku moja niliyoonja huko nje hiyo kitu basi nikamuacha kimoja maana. japo alilia sanaa na ndiyo alinishawishi nijiunge JF. Alinipoteza muda wangu sasa mimi nimekuwa kama play boy sana mpaka najishangaa.

sometimes sisi waseminarist tukikengeuka ndo inakuwa kimoja. ata sifikiirii ntaacha lini u play boy. mda wa kuoa ushafika lakini sidhani kuna mwanamke naweza nkatulia naye zaidi ya mwezi. nikipata kipya nafukuza kabisa.

anyway but naomba Mungu nisipate magonjwa ya ajabu ajabu.

mnisamehe kwa kueleza ukweli
Mungu akujalie ndugu urudi kundin
 
Nimesoma seminary pale nyegezi, for almost 5 years nlikuwa mseminari kwa sasa namshukuru mungu kwani kila sehemu nayokwenda watu wanapenda kuishi nami wakiniita baba paroko, seminari inafundisha vitu adimu sana hasa katika maadili
Enz zp boss
Mie pia nilfaidi matunda ya St. Mary's
 
Hata mm nimepiga nyegezi seminari kwenye enzi ya RECTOR ALFRED LWAMBA njombaaaa
[emoji3] [emoji3] [emoji3]
Aisee ww tunaFahamiana me too enz za Ndindilo,John Baptist na nkamaliza na Lwamba.

Nachojua waseminary tulikua tunapiga ubundi and not punyeto.
 
Wanatabia kuu mbili washamba au wana mawenge,mapepe
bt they are so loving and caring men ever ukipata ilo group la kwanza wakwelii wana bidii washaurii wazurii
group la pili wanakuwa kama ndo wamezibuka ukubwani wanaboa kinyamawana mambo ya ajabu ajabu, kama ndo wako balehe, wambea wasengenyaji washobokaji wa ovyo kabisaa
SPEAKING FROM EXPIRIENCE
Experience of how many madam?
 
Na akina seseja bene.., agustino.., sunday dah long time sana ila ni mwaka juzi juzii tyuuu
Nyie mlikua olevo paspo shaka.
Mie nimemalza na ambao sahv ni mapadre Fr. Sumila na Fr. Mkama. Hawa lazma utakua unawajua[emoji3]
 
Kweli sana yaani TULIKUWA NA MABWENI MAARUMU KABISA YA KUSOMEA """st.calori you know""" na kipindi kile father.buhembk akipiga mishe mishe zake usiku huku sisi tukiwa tuna wanga mida ya wanga hahahahahhagaha dah life is a very long jorney ni miaka kadhaa ila bado ipo kichwani aseeee life is a history
 
Nyie mlikua olevo paspo shaka.
Mie nimemalza na ambao sahv ni mapadre Fr. Sumila na Fr. Mkama. Hawa lazma utakua unawajua[emoji3]
Padeeeeeeereeeeeeeee kelvin mkamaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa sasa huyu hawezi potea kichwani mwaka jana tuu nilikutana nae pale bugando parokian na ndinga yake alikwa anaelekea malya kwenye parokia aykeee dah HONGERA ZAKE BANA NAKUMBUKA kipindi kile alikuwaga na story nyingi sana pindi anafundisha
 
Kweli sana yaani TULIKUWA NA MABWENI MAARUMU KABISA YA KUSOMEA """st.calori you know""" na kipindi kile father.buhembk akipiga mishe mishe zake usiku huku sisi tukiwa tuna wanga mida ya wanga hahahahahhagaha dah life is a very long jorney ni miaka kadhaa ila bado ipo kichwani aseeee life is a history
[emoji3] [emoji3] [emoji3]
St. Calori dormitory ilikua niya ubundi, pafu na madeal ya wali na dagaa wa swea na kama mpo smart mnajpatia deal la maziwa pale zizin[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
[emoji3] [emoji3] [emoji3]
Aisee ww tunaFahamiana me too enz za Ndindilo,John Baptist na nkamaliza na Lwamba.

Nachojua waseminary tulikua tunapiga ubundi and not punyeto.
hey mwaka gani uliua pale nyegezi!?
 
Back
Top Bottom