Black Coffee
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 1,931
- 3,177
Wanatabia kuu mbili washamba au wana mawenge,mapepe
bt they are so loving and caring men ever ukipata ilo group la kwanza wakwelii wana bidii washaurii wazurii
group la pili wanakuwa kama ndo wamezibuka ukubwani wanaboa kinyamawana mambo ya ajabu ajabu, kama ndo wako balehe, wambea wasengenyaji washobokaji wa ovyo kabisaa
SPEAKING FROM EXPIRIENCE
bt they are so loving and caring men ever ukipata ilo group la kwanza wakwelii wana bidii washaurii wazurii
group la pili wanakuwa kama ndo wamezibuka ukubwani wanaboa kinyamawana mambo ya ajabu ajabu, kama ndo wako balehe, wambea wasengenyaji washobokaji wa ovyo kabisaa
SPEAKING FROM EXPIRIENCE