Wanaume waliosoma seminari

Wanaume waliosoma seminari

na uache sasa kaka ako amechukia ujueeeee

cc: Daby
Hahaaaa!! Kwani si ni ukweli lakini? Mie kaka yangu ananijua huwa simfichi.
Ila hapa inaonekana kakolea maana anapatetea kweli, kule kwingine nilikuwa nikitetea ananibarasa kweli ndege mjanja.......
 
Kikubwa tu heshimu vyangu hatakama havikupendezi maana mwisho wa siku namwita baby ananiita baby.
Mweeeeh!! Hapa matumizi ya baby yamebakwa kabisaaa. [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134]
Ila sawa kaka nitajitahidi tu nisifie hata kama vya uongo, nitafanyaje sasa!!!
 
Hahaaaa!! Kwani si ni ukweli lakini? Mie kaka yangu ananijua huwa simfichi.
Ila hapa inaonekana kakolea maana anapatetea kweli, kule kwingine nilikuwa nikitetea ananibarasa kweli ndege mjanja.......
hahahhahaha labda wewe ndo uliyemtafutia na uache hiyo tabia. Mwache aangalie moyo umependa wapi wakati ukisahau kusukuma damu na kusukuma vingine asije kukulaumu wewe.
 
Mweeeeh!! Hapa matumizi ya baby yamebakwa kabisaaa. [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134]
Ila sawa kaka nitajitahidi tu nisifie hata kama vya uongo, nitafanyaje sasa!!!

Nani kayabaka. Mbona baba yetu na mama bado wanaitana baby?
 
hahahhahaha labda wewe ndo uliyemtafutia na uache hiyo tabia. Mwache aangalie moyo umependa wapi wakati ukisahau kusukuma damu na kusukuma vingine asije kukulaumu wewe.
Akuuu alimchagua mwenyeweeee!! Mie sijawahi kumchagulia.
 
Nani kayabaka. Mbona baba yetu na mama bado wanaitana baby?
Wale wakiitana sawa haina shida, ila hapa chachaaaaa!![emoji134] [emoji134] [emoji85] [emoji87]
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Wale wakiitana sawa haina shida, ila hapa chachaaaaa!![emoji134] [emoji134] [emoji85] [emoji87]
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
[emoji16][emoji16][emoji16] shindwa na ulegee na tutaendelea kuitana babylove mpaka tujikongoje
 
haaaa basi ninyamaze mie maana daaah, kweli amekushinda tabia
Kanishinda tabia kama kidogo sasa!!
Hapa najua baada ya mwezi nitatambulishwa mwingine, ninatakiwa kuwa na kumbukumbu ya hali ya juu lasivyo nitachanganya mawifi.
 
Kanishinda tabia kama kidogo sasa!!
Hapa najua baada ya mwezi nitatambulishwa mwingine, ninatakiwa kuwa na kumbukumbu ya hali ya juu lasivyo nitachanganya mawifi.
siamin kama yuko hivyo ila acha nipite tu na kuangalia pia.
 
Back
Top Bottom