Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kikubwa tu heshimu vyangu hatakama havikupendezi maana mwisho wa siku namwita baby ananiita baby.You too.
Hatimae huna shida nae!! Thank God.
Hahaaaa!! Kwani si ni ukweli lakini? Mie kaka yangu ananijua huwa simfichi.
Mweeeeh!! Hapa matumizi ya baby yamebakwa kabisaaa. [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134]Kikubwa tu heshimu vyangu hatakama havikupendezi maana mwisho wa siku namwita baby ananiita baby.
hahahhahaha labda wewe ndo uliyemtafutia na uache hiyo tabia. Mwache aangalie moyo umependa wapi wakati ukisahau kusukuma damu na kusukuma vingine asije kukulaumu wewe.Hahaaaa!! Kwani si ni ukweli lakini? Mie kaka yangu ananijua huwa simfichi.
Ila hapa inaonekana kakolea maana anapatetea kweli, kule kwingine nilikuwa nikitetea ananibarasa kweli ndege mjanja.......
Mweeeeh!! Hapa matumizi ya baby yamebakwa kabisaaa. [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134]
Ila sawa kaka nitajitahidi tu nisifie hata kama vya uongo, nitafanyaje sasa!!!
Akuuu alimchagua mwenyeweeee!! Mie sijawahi kumchagulia.hahahhahaha labda wewe ndo uliyemtafutia na uache hiyo tabia. Mwache aangalie moyo umependa wapi wakati ukisahau kusukuma damu na kusukuma vingine asije kukulaumu wewe.
haaaa basi ninyamaze mie maana daaah, kweli amekushinda tabiaAkuuu alimchagua mwenyeweeee!! Mie sijawahi kumchagulia.
Wale wakiitana sawa haina shida, ila hapa chachaaaaa!![emoji134] [emoji134] [emoji85] [emoji87]Nani kayabaka. Mbona baba yetu na mama bado wanaitana baby?
Nachojua mimi ni wapiga punyeto wa kutupwa.
[emoji16][emoji16][emoji16] shindwa na ulegee na tutaendelea kuitana babylove mpaka tujikongojeWale wakiitana sawa haina shida, ila hapa chachaaaaa!![emoji134] [emoji134] [emoji85] [emoji87]
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Kanishinda tabia kama kidogo sasa!!haaaa basi ninyamaze mie maana daaah, kweli amekushinda tabia
Kumbe kuna kujikongoja!! Haya mie yangu majicho.[emoji16][emoji16][emoji16] shindwa na ulegee na tutaendelea kuitana babylove mpaka tujikongoje
Poa sis tuombee baraka tele nasi tunawaombea piaKumbe **** kujikongoja!! Haya mie yangu majicho.
siamin kama yuko hivyo ila acha nipite tu na kuangalia pia.Kanishinda tabia kama kidogo sasa!!
Hapa najua baada ya mwezi nitatambulishwa mwingine, ninatakiwa kuwa na kumbukumbu ya hali ya juu lasivyo nitachanganya mawifi.
Mweeeeh!!!!Poa sis tuombee baraka tele nasi tunawaombea pia
Halafu ujue nakushangaa hivi mimi na wewe nani ana ma x wengi sis?Mweeeeh!!!!
Kweli shetani akizeeka anakuwa malaika.
hahaaaaaa tabia mbaya kuhesabu x wa dada zakoHalafu ujue nakushangaa hivi mimi na wewe nani ana ma x wengi sis?