jje's
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 10,812
- 16,487
naona umetoa majicho yote mawiliKumbe kuna kujikongoja!! Haya mie yangu majicho.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
naona umetoa majicho yote mawiliKumbe kuna kujikongoja!! Haya mie yangu majicho.
Eti ananiita shetani....amesahau yakehahaaaaaa tabia mbaya kuhesabu x wa dada zako
usijali ila si umeambiwa umegeuka from shetani kuwa malaika? huon hapo promotion kabisaaaaEti ananiita shetani....amesahau yake
Teh shem kwani hautaki mimi kutulizwa na wifi yako!usijali ila si umeambiwa umegeuka from shetani kuwa malaika? huon hapo promotion kabisaaaa
teh teh
Teh shem kwani hautaki mimi kutulizwa na wifi yako![/QUOTE
Nataka kabisa tena nataka nifanye booking ya kikao yetu ya boma tukae kama kamati nimpe moja mbili tatu ya boma yetu usije ukawa humwambii vyote.
kikikikik teh teh
Nani any Anty yko????? Mi mjuuku wakoAunty haujambo?
Mie sina ex hata mmoja, ila wewe sasaa[emoji134] [emoji134] [emoji134]Halafu ujue nakushangaa hivi mimi na wewe nani ana ma x wengi sis?
Yaani majicho hata hayaamini matukio.naona umetoa majicho yote mawili
[emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134]Nani any Anty yko????? Mi mjuuku wako
St Peter's Junior Seminary.Asante sana mkuu, ila wewe ulipita seminari ipi
In most cases unakuta wanalelewa na Mapadre, sometimes Mafrateri wakiwa likizo. Hivo kwa namna moja au nyingine nao wana adapt attitude za ki padre. Na most of the teachings zinakuwa zime base kuwaandaa waje kuwa mapadre so automatically nao wana behave kama priests to be.lakini nahisi malezi yao tu yapo so psychological mbali na wale waliokwenda kusomea na hata hao wa major seminary hawana utofauti mkubwa kabisa na hawa wa junior seminary kifupi tu ni kwamba wanafanana kwa kila kitu kwa sababu reasoning inabaki kwenye mfumo wa malezi na si tu kusoma ( hasa katika masomo yao ya Logic Philosophy etc).
Hilo suala halina uhusiano na kusoma seminary. Wakati nasoma mtu aliyehisiwa kuwa na huwa mchezo, hakuvumiliwa hata dakika moja. Uzuri wa huku Gambera akishafanya maamuzi hakuna turning back.Kuwa makini, kuna pande mbili, saa zngne unakuta sio rizki.. Analiwa mtandao
Mhhh....weweeeeNyie mlikua olevo paspo shaka.
Mie nimemalza na ambao sahv ni mapadre Fr. Sumila na Fr. Mkama. Hawa lazma utakua unawajua[emoji3]
we daby ni noumaNachojua mimi ni wapiga punyeto wa kutupwa.
exactly...!!In most cases unakuta wanalelewa na Mapadre, sometimes Mafrateri wakiwa likizo. Hivo kwa namna moja au nyingine nao wana adapt attitude za ki padre. Na most of the teachings zinakuwa zime base kuwaandaa waje kuwa mapadre so automatically nao wana behave kama priests to be.
watu wanatumia maneno ya mtaani kupublish ushetani.....!!!!Hilo suala halina uhusiano na kusoma seminary. Wakati nasoma mtu aliyehisiwa kuwa na huwa mchezo, hakuvumiliwa hata dakika moja. Uzuri wa huku Gambera akishafanya maamuzi hakuna turning back.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Loving caring n very trustful... Nimepitia seminary trust me
Na wanasoma Bible hatari, sifa nzuri sana jmnLoving caring n very trustful... Nimepitia seminary trust me