Nipo mm Nina miaka 17 naomba unileeNa mimi natafuta kiben 10 cha kumlea mpaka 2021.
[emoji23] [emoji23] mkuu umenifurahisha sana ila nilitaka kujua uliukwepa vip mguu Wa kuku?Heheh maisha ni wewe utavyoamua kuishi tu mjini msingi kiuno, nakumbuka zamani enzi za high school tulikuwa tunamichezo ya kuwinda watoto wa kishua kwa hali na mali tulikuwa tupo ladhi hata kufake life ilimradi mtoto wa kike aingie king,
Tulikuwa tunajiweka karibu nao ilimradi tuende nao sawa lakini ukimpata, unamuonyesha maujanja yote unayoyajua ili mtoto asikuache huko kitandani lazima aombe pooo, and the good thing by that time watoto wakishua wengi walikuwa hawajui kitu kuhusu mapenzi kiufupi wengi wao walikuwa bikra,
bhas ukimuonjesha raha ya ukuni mtoto akaelewa shoo atakuganda kama ruba, na yupo radhi akupe chochote unachokitaka ili usimuache, sisahau siku nilipokoswa koswa na risasi mitaa ya masaki mtoto karudi likizo kisha kanialika kwao huku akinihakikishia wazazi wake wote hawapo siku nzima yupo na beki tatu wao tu, mzee nikajitanua kama kwangu mzee, mtoto wa mbagala siku hiyo nikala mzigo mbaka kwenye jakuzi, lol ,
kumbe mzee wake alipata dharura ikabidi arudi nyumbani , kilichotokea usitake kujua ila nilikoswa koswa na mguu wa kuku mzee. Miaka inaenda mbaka sasa nipo na hako katoto unaambiwa sijui ndo kamenioa hata sielewi, she give me everything ninachotaka, anachohitaji yeye ni true love bhas, bhasi vile na mimi napenda ukitonga nampa kile anachokihitaji na maisha yanaendelea, kwangu mimi najiona ni mwenye bahati na sifichi kusema mimi ni Mariooooooooo ( Dogo aslay voice)
AmenMimi nakumbuka chuo kulikuwa kuna manzi anasoma wakat ni mfanyakazi wa bank basi alikuwa ananitoa sana.
Mm maisha yangu yalikuwa magumu maana hela napewa ya mwezi na dingi kwa pamoja yani mfano nkiipata ijumaa nakula bata nkiamka j3 hata hela ya chai sina nakuwa naishi kama nipo vitani lkn nlivyokuja kumpata yule dada mambo yalikaa vzr tatizo tu kuhudumiwa na demu kunakufanya ukose uhuru fulani
Mungu amuongezee kwakweli.
Aisee umeongea ukweli wengi wanaloea ktk batakama utaitumia fursa vzuri inawezekana ikawa ndo njia yako ya kutoka ila wengi wanajisahau wanajua haya mambo huwa yanakaa milele.kumbe ni upepo tu unaopita
[emoji23] [emoji23] mkuu umenifurahisha sana ila nilitaka kujua uliukwepa vip mguu Wa kuku?
DJ sepetu
Hapana sio Mimi.Ni wewe ati
DJ sepetu
Bado mdogo sana ukifika 20 miaka nitafute nikulee kwa miaka 10. HahaaaaNipo mm Nina miaka 17 naomba unilee
Ndio naleana na wangu.Hahaha ila una wako unamlea
DJ sepetu
Kuja pm sio tatizo tatizo ni aina ya ujumbe nitakao upokea ukiwa ni wakipuuzi sitojibu ila ukiwa na mantiki hakika nitajibu.Subiri waje pm usiwakimbie ila mbona ume limit 2021?
DJ sepetu
Safi tu sema nitakutafuta [emoji23]Bado mdogo sana ukifika 20 miaka nitafute nikulee kwa miaka 10. Hahaaaa