kritika
JF-Expert Member
- Apr 18, 2018
- 410
- 1,156
Wanaume huku kwenye mitandao ya kijamii ni ma"handsome" na wako "smart" sana, ila ukikutana nao nje ya hii mitandao ya kijamii utampa tu Kristo maisha yako.
Utakuta kimwanaume huku kinavimbaa kina act kipo smart lakini sivyo kabisa,uhalisia wake unakuta ni mtu wa ovyo,yupo rough,hana hela anaunga unga tu maisha
Badilikeni mtafute pesa
Utakuta kimwanaume huku kinavimbaa kina act kipo smart lakini sivyo kabisa,uhalisia wake unakuta ni mtu wa ovyo,yupo rough,hana hela anaunga unga tu maisha
Badilikeni mtafute pesa