Wanaume wanahesabika siku hizi

sijawahi kunywa maji bar...

nahisi inahitaji ujasiri sana kwenda bar na kunywa kinywaji ambacho unaweza hata ukawa kwenye official meeting na ukakibugia bila wasiwasi 😂
 
Pombe inafika mahali unaiacha automatically. Mwombe Mungu sana uiache. ile kitu ni shetani kabisa aisee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…