Wanaume wananitoroka kwa sababu ya ndevu

Wanaume wananitoroka kwa sababu ya ndevu

Enzi zangu nilikiwa napenda saana wanawake wenye ndevu, wenye mabesi(ukimkuta anaugulia ubooh na sauti lake,hii ni zaidi ya kumuona messi akimuangusja boateng) kuna wasagaji(vile unawapelekea moto wana'confess,ni raha tu, bichwa linavimba kama gudulia[emoji1787]), wakubwa walionizidi umri(vitoto havikuwahi kuninogea, ukinipa mtoto tunaweza kutoka mtwara na kigoma kisitokee kitu, ila mtu mzima,(msimbazii na aggrey mbali nishamaliza)1[emoji38][emoji1787][emoji23]

Sina kumshukuru mungu kumaliza ujana salama, na kumuomba msamaha wa marundo ya makosa niliyotenda[emoji17][emoji20]
Screenshot_20220408-023646.png
 
"Ujana ni nusu ya uwendawazimu"
Mungu anisamehe...

Yaani mwanamke awe na ndevu na mimi niwe na ndevu...

Tunaangaliana sote tuna ndevu...Siku mashine yake ya kunyolea haioni anatumia ya kwangu!!!

Kwangu hapana!
 
Za kawaida sana mi nilifikiri kama buring spear hapo ningeshangaa sana
 
watu wanaowa shemale ije kuwa ndevu labda kama huna chura.

Shemale/tranny/transgender/sisy ni wanaume mashoga walioamua kubadilisha maumbile kama kutumia homoni za kike ili wapate maumbile ya kike kama kutoota ndevu, kulegeza sauti n.k pia wamefanya surgery kujiwekea matiti na kuongeza makalio na hips.

Hivyo mwanaume anayetembea na shemale nae ni shoga tu. Tranny wanajibadilisha vitu vingi mwilini ila wanashindwa kuondoa uume.
 
Back
Top Bottom