Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
- Thread starter
-
- #21
Tunaomba radhi kwa wote watakaokwazika mwandishi ni mmoja wa wagonjwa wetu katika hospital yetu ya crazy for life.
Ndugu Mwachiluwi, alitoroka jana hospital na Sasa anaropoka tu.
Tunashukuru kwa ushirikiano wenu na tunaahidi tutalishughulikia hivyo mvumilieni.
Ninaambatanisha ushahidi wa vyeti alivyovipata kutoka hospital yetu.
View attachment 2486304
Unalosema ni kweli. Imagine kabisa mtu anakuja anzisha uzi kama huu? Wa kipumbavu. Halafu baadaye anaweza kulalamika hapati wanaume wa kumuoa.
bila katiba mpya, nyuzi kama hizi hazitoishaWatanzania wana mawazo ya kijinga sana ndio maana nchi haisongi mbele
Sijui wanakosa kazi za kufanya?
Je HASIPOHANGALIA kauli utamfanya nini?Hangalia kauli
NAWAZA SANA .YAANI KWA WAANDISHI WA NYUZI HIZI TUTAPATA KATIBA MPYA KWELI?bila katiba mpya, nyuzi kama hizi hazitoisha
Je HASIPOHANGALIA kauli utamfanya nini?
Sasa yule ambaye HATAHANGALIA kauli, ukifa atapata hasara?[emoji23] nitakufa
Sasa yule ambaye HATAHANGALIA kauli, ukifa atapata hasara?
Sishuki hata ufanyejeEmbu niache nikule ugali ushuke
Sema uko wapi, ili tukurudishe hospital[emoji23][emoji23][emoji23] safarihh amnikamati
Sishuki hata ufanyeje
Sema uko wapi, ili tukurudishe hospital
Home of Great thinker.
Jamii Forum Imevamiwa na VILAZA.
Jamaa sijui hata AMEANDIKA nini???
Sijui anazungumzia miuwano Gani???
Sijui anakerwa na kitu Gani wenzie KUVAA miuwano???
Mnatujazia Seva.
Haya kikosi kazi hichoo kinakuijia
View attachment 2486344
Anapajua alipo kwani..!!Sema uko wapi, ili tukurudishe hospital
Jf imeaharibika,
Nyuzi nyingi za kipuuzi.