Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
- Thread starter
- #21
Tunaomba radhi kwa wote watakaokwazika mwandishi ni mmoja wa wagonjwa wetu katika hospital yetu ya crazy for life.
Ndugu Mwachiluwi, alitoroka jana hospital na Sasa anaropoka tu.
Tunashukuru kwa ushirikiano wenu na tunaahidi tutalishughulikia hivyo mvumilieni.
Ninaambatanisha ushahidi wa vyeti alivyovipata kutoka hospital yetu.
View attachment 2486304
[emoji23][emoji23][emoji23] safarihh amnikamati