mahenda255
JF-Expert Member
- Jul 29, 2018
- 513
- 691
Tutajificha wapi sisi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We utakuwa umekutana na mwenye makengeza.
Tutajificha wapi sisi
Jf imeharibika,
Nyuzi nyingi za kipuuzi.
Madogo wanatuharibia Jukwaa kabisa yani..
Inauma sana, Jamii forum Ilikuwa Jukwaa la heshima mno.
Mkuu kwani wewe ni ugali? 😂😂Sishuki hata ufanyeje
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyiee kwann lakini?? Nimechekaa hadi baas.Siyo ukitendwa na mwanaume mmoja aliyevaa miwani basi unawachukia wote.
Si umemsoma umeona jinsi ambavyo kawachukia wanaume wanaovaa miwani?kisa tu kuna mmoja kamtenda[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyiee kwann lakini?? Nimechekaa hadi baas.
Tuombe radhi kwanza kwa kuleta Uzi wa mtu anayebalehe...........siyo wote wanaovaa miwani ni ubishoo au show off........miwani ni sehemu ya Tiba kwa tatizo alilonalo mtu ........Hawa wanaume wanaovaa miwani wachunguzwe upya wanarembua macho ndani ya miwani embu wachunguzwe halafu mtoe tamko
Mods nao siku hizi sijui wamekuwaje,vitu vya kipuuzi kama hiki kinaletwa na wanakiruhusuUnalosema ni kweli. Imagine kabisa mtu anakuja anzisha uzi kama huu? Wa kipumbavu. Halafu baadaye anaweza kulalamika hapati wanaume wa kumuoa.
Mtu kama huyu unakuta nayeye ni Baba au Mama wa familia........Watanzania wana mawazo ya kijinga sana ndio maana nchi haisongi mbele
Sijui wanakosa kazi za kufanya?
wewe ndio unatakiwa upimwe, mwanaume kamili hawezi kuandika hiki ulichoandika. au labda kama upo kundi lile...Hawa wanaume wanaovaa miwani wachunguzwe upya wanarembua macho ndani ya miwani embu wachunguzwe halafu mtoe tamko
Ndo wale wale...siku hizi wapo wengi sana utaziona tu nyuzi zao. Za kipuuzi na zimekaa kishoga.wewe ndio unatakiwa upimwe, mwanaume kamili hawezi kuandika hiki ulichoandika. au labda kama upo kundi lile...
Moderator kweli muwe mnaangalia nyuzi za namna hii msiziache zinachafua tu JF.Mods nao siku hizi sijui wamekuwaje,vitu vya kipuuzi kama hiki kinaletwa na wanakiruhusu
Dah...[emoji2827] sijui wa kutuchunguza ni nani sasaHawa wanaume wanaovaa miwani wachunguzwe upya wanarembua macho ndani ya miwani embu wachunguzwe halafu mtoe tamko