Wanaume wanaofakamia fasheni za kike ni dalili za ushoga?

Wanaume wanaofakamia fasheni za kike ni dalili za ushoga?

Acha kupangia watu maisha yao.
Kama ni maisha yenu binafsi tunaomba mkae nayo ndani msitoke nje kuja kuwaambukiza watu wengine mkuu. Mnaharibu kizazi cha vijana ambao tayari wameishaathiriwa na bangi na unga.
Kuna Fasheni za kipumbavu sana kwa vijana wa sasa hivi
Sana aisee. Mwanaume hadi anatoboa pua anaweka kipini afu anajiona mjanja. Si shoga kabisa huyo?
 
Kama ni maisha yenu binafsi tunaomba mkae nayo ndani msitoke nje kuja kuwaambukiza watu wengine mkuu. Mnaharibu kizazi cha vijana ambao tayari wameishaathiriwa na bangi na unga.

Sana aisee. Mwanaume hadi anatoboa pua anaweka kipini afu anajiona mjanja. Si shoga kabisa huyo?
Mkuu nakuomba wafanye watoto kutokuwa na tabia ya kuiga Kila kitu, hiyo ndiyo njia pekee, la sivyo utapiga porojo hadi mwisho wa maisha yako.
 
Mkuu nakuomba wafanye watoto kutokuwa na tabia ya kuiga Kila kitu, hiyo ndiyo njia pekee, la sivyo utapiga porojo hadi mwisho wa maisha yako.
Mkuu huwezi kumaliza tatizo bila kuondoa chanzo cha tatizo. Hawahawa wanaume wenye tabia za kishoga ndio wa kushughulika nao barabara kabla hawajawaambukiza wengine.
 
Mkuu huwezi kumaliza tatizo bila kuondoa chanzo cha tatizo. Hawahawa wanaume wenye tabia za kishoga ndio wa kushughulika nao barabara kabla hawajawaambukiza wengine.
Mimi huwa naamini kuwa wale wanaoambukizwa kirahisi ni watu wajinga Sana wasio na fikra, mafuvu yao yamejaa udongo kiasi cha kushindwa Ku judge vizuri.
 
Siku hizi imekuwa desturi kwa baadhi ya wanaume kuvamia fasheni na tabia za kike hadi inaleta wasiwasi. Unamkuta mwanaume kipande cha baba amevaa kipochi cha kike anazurura nacho mtaani hadi unashangaa huyu jamaa vipi? Amerogwa, ni shoga au amezidiwa na homoni za kike?

Hivi hawa wanaume wanaovaa vipochi, tena wanamechisha kabisa, na kutoka navyo mitaani wana nini lakini jamani? Kwanini mtu uvae vitu vya kike? Wengine wanafikia hatua ya kuvaa bangili mikononi mwao. Lakini kuna wanaoenda mbali zaidi hadi kutoga masikio na pua na kuvaa hereni na vipini, mtawalia. Au unamkuta mwanaume kajichafua tatoo mwili mzima utadhani mwali kajipamba kabla ya kuingia kwenye ukumbi wa ndoa. Je, tukisema kwamba hawa wanaume wana homoni za kike au ushoga tutakuwa tumekosea?

Inashangaza na kusikitisha unakutana na mwanaume kajipaka marashi yananuka mtaa mzima. Yaani unapishana naye unakwenda hatua zaidi ya 100 bado unasikia harufu ya marashi? Ukiwabana watu wa aina hii watakuambia eti wamejipaka marashi ya kiume. Ebo!

Kana kwamba haya yote hayatoshi, kuna wimbi kubwa la wanaume wanaotaka kuhalalisha uvaaji wa bukta na kuingia nazo mitaani. Hivi mwanaume mzima unavaaje bukta unaenda nayo hadi sokoni na kwenye maeneo ya mikusanyiko ya watu na bado unajiona uko sawa? Kama kawaida yao, ukiwauliza kwanini wanafanya hivi watakuambia wanavaa bukta za kiume sio pensi za kike. Kama vipi basi watengenezewa na K za kiume wawe wanagawa uroda, isiwe taabu.

Nchi hii ina baadhi ya wanaume wa ovyo na wenye tabia na akili za kike na kishoga kuliko kawaida. Serikali isipoingilia kati na kupiga marufuku huu ushenzi, miaka michache ijayo tutakuwa na taifa la ovyo sana.

Mkuu ila yale mapensi makubwa kama tuliyokua tunavaa baada ya kutahiriwa hayana shida.
 
Siku hizi imekuwa desturi kwa baadhi ya wanaume kuvamia fasheni na tabia za kike hadi inaleta wasiwasi. Unamkuta mwanaume kipande cha baba amevaa kipochi cha kike anazurura nacho mtaani hadi unashangaa huyu jamaa vipi? Amerogwa, ni shoga au amezidiwa na homoni za kike?

Hivi hawa wanaume wanaovaa vipochi, tena wanamechisha kabisa, na kutoka navyo mitaani wana nini lakini jamani? Kwanini mtu uvae vitu vya kike? Wengine wanafikia hatua ya kuvaa bangili mikononi mwao. Lakini kuna wanaoenda mbali zaidi hadi kutoga masikio na pua na kuvaa hereni na vipini, mtawalia. Au unamkuta mwanaume kajichafua tatoo mwili mzima utadhani mwali kajipamba kabla ya kuingia kwenye ukumbi wa ndoa. Je, tukisema kwamba hawa wanaume wana homoni za kike au ushoga tutakuwa tumekosea?

Inashangaza na kusikitisha unakutana na mwanaume kajipaka marashi yananuka mtaa mzima. Yaani unapishana naye unakwenda hatua zaidi ya 100 bado unasikia harufu ya marashi? Ukiwabana watu wa aina hii watakuambia eti wamejipaka marashi ya kiume. Ebo!

Kana kwamba haya yote hayatoshi, kuna wimbi kubwa la wanaume wanaotaka kuhalalisha uvaaji wa bukta na kuingia nazo mitaani. Hivi mwanaume mzima unavaaje bukta unaenda nayo hadi sokoni na kwenye maeneo ya mikusanyiko ya watu na bado unajiona uko sawa? Kama kawaida yao, ukiwauliza kwanini wanafanya hivi watakuambia wanavaa bukta za kiume sio pensi za kike. Kama vipi basi watengenezewa na K za kiume wawe wanagawa uroda, isiwe taabu.

Nchi hii ina baadhi ya wanaume wa ovyo na wenye tabia na akili za kike na kishoga kuliko kawaida. Serikali isipoingilia kati na kupiga marufuku huu ushenzi, miaka michache ijayo tutakuwa na taifa la ovyo sana.

kuna ww na kuna sisi wanaume wa ukwel tunaofanya kitu kinachoitwa............ " mind your own bussiness"...........ongezea sasa na tunaovaa msuli🤕
 
Mkiambiwa msigawe mbegu hovyo, tafuta mwanamke mwenye akili zaa nae, shiriki malezi jamii ipate watoto wenye akili na malezi ya baba na mama hamtaki kazi ni kumwaga mwaga kila tundu. HAYA SASA, NDO MBEGU ZINAOTA NA KUMEA NA BADO, WATAVAA HADI VIMINI SHUBAMIIT.
 
Siku hizi imekuwa desturi kwa baadhi ya wanaume kuvamia fasheni na tabia za kike hadi inaleta wasiwasi. Unamkuta mwanaume kipande cha baba amevaa kipochi cha kike anazurura nacho mtaani hadi unashangaa huyu jamaa vipi? Amerogwa, ni shoga au amezidiwa na homoni za kike?

Hivi hawa wanaume wanaovaa vipochi, tena wanamechisha kabisa, na kutoka navyo mitaani wana nini lakini jamani? Kwanini mtu uvae vitu vya kike? Wengine wanafikia hatua ya kuvaa bangili mikononi mwao. Lakini kuna wanaoenda mbali zaidi hadi kutoga masikio na pua na kuvaa hereni na vipini, mtawalia. Au unamkuta mwanaume kajichafua tatoo mwili mzima utadhani mwali kajipamba kabla ya kuingia kwenye ukumbi wa ndoa. Je, tukisema kwamba hawa wanaume wana homoni za kike au ushoga tutakuwa tumekosea?

View attachment 3264764
Inashangaza na kusikitisha unakutana na mwanaume kajipaka marashi yananuka mtaa mzima. Yaani unapishana naye unakwenda hatua zaidi ya 100 bado unasikia harufu ya marashi? Ukiwabana watu wa aina hii watakuambia eti wamejipaka marashi ya kiume. Ebo!

Kana kwamba haya yote hayatoshi, kuna wimbi kubwa la wanaume wanaotaka kuhalalisha uvaaji wa bukta na boxer na kuingia nazo mitaani. Hivi mwanaume mzima unavaaje bukta unaenda nayo hadi sokoni na kwenye maeneo ya mikusanyiko ya watu na bado unajiona uko sawa? Kama kawaida yao, ukiwauliza kwanini wanafanya hivi watakuambia wanavaa bukta za kiume sio pensi za kike. Kama vipi basi watengenezewe papuchi za kiume wawe wanagawa uroda, isiwe taabu.

View attachment 3264765
Nchi hii ina baadhi ya wanaume wa ovyo na wenye tabia na akili za kike na kishoga kuliko kawaida. Serikali isipoingilia kati na kupiga marufuku huu ushenzi, miaka michache ijayo tutakuwa na taifa la ovyo sana.
Yaan nisivae pensi kisa nn kwaiyo unaenda Beach na suruali za mashineni
 
Mtoto wakiume unavaaje mkoba? unavaaje pensi iko juu ya magoti? Unavaaje bangili na hereni? kama unataka tukuite Aziza cheupe si useme
 
Back
Top Bottom