Wanaume wanaofakamia fasheni za kike ni dalili za ushoga?

Wanaume wanaofakamia fasheni za kike ni dalili za ushoga?

Bas jamii ikiharibika utawezaje kulinda wanao ambao pia wapo kwenye jamii hiyohiyo.!?
Nimeshasema nitawafanya watoto wangu wawe na msimamo thabiti na kuwapandikizia roho ya kutoiga Kila kitu wanachokiona. Kumbuka hii dunia ni ya utandawazi ambapo jamii yako inaweza isiharibike lakini mtoto wako anaweza kuharibika kutokana na mitandao ya kijamii kama hujamfanya kuwa na msimamo so unatakiwa ku-deal na watoto wako kwanza.

Sawa sawa!
 
Tanzania inazaidi ya kaya binafsi Milion 14+
Iv unategemea ulivyolelewa wewe ndo wenzako pia wamelelewa ivyo
Unazani malezi yako ni sawa na wengne,imani yako ,mitizamo yako,misimamo, mira desturi na tamaduni zako unazani ni sawa na wengne

Jifunze kuishi kulingana na nafasi yako acha kupangia watu wengne jinsi ya kuishi
Watanzania ni zaidi ya watu milion61
 
Tanzania inazaidi ya kaya binafsi Milion 14+
Iv unategemea ulivyolelewa wewe ndo wenzako pia wamelelewa ivyo
Unazani malezi yako ni sawa na wengne,imani yako ,mitizamo yako,misimamo, mira desturi na tamaduni zako unazani ni sawa na wengne

Jifunze kuishi kulingana na nafasi yako acha kupangia watu wengne jinsi ya kuishi
Watanzania ni zaidi ya watu milion61
Yaani adili na watoto wake tu.
Eti anarekebisha jamii!
 
Siku hizi imekuwa desturi kwa baadhi ya wanaume kuvamia fasheni na tabia za kike hadi inaleta wasiwasi. Unamkuta mwanaume kipande cha baba amevaa kipochi cha kike anazurura nacho mtaani hadi unashangaa huyu jamaa vipi? Amerogwa, ni shoga au amezidiwa na homoni za kike?

Hivi hawa wanaume wanaovaa vipochi, tena wanamechisha kabisa, na kutoka navyo mitaani wana nini lakini jamani? Kwanini mtu uvae vitu vya kike? Wengine wanafikia hatua ya kuvaa bangili mikononi mwao. Lakini kuna wanaoenda mbali zaidi hadi kutoga masikio na pua na kuvaa hereni na vipini, mtawalia. Au unamkuta mwanaume kajichafua tatoo mwili mzima utadhani mwali kajipamba kabla ya kuingia kwenye ukumbi wa ndoa. Je, tukisema kwamba hawa wanaume wana homoni za kike au ushoga tutakuwa tumekosea?
Inashangaza na kusikitisha unakutana na mwanaume kajipaka marashi yananuka mtaa mzima. Yaani unapishana naye unakwenda hatua zaidi ya 100 bado unasikia harufu ya marashi? Ukiwabana watu wa aina hii watakuambia eti wamejipaka marashi ya kiume. Ebo!

Kana kwamba haya yote hayatoshi, kuna wimbi kubwa la wanaume wanaotaka kuhalalisha uvaaji wa bukta na boxer na kuingia nazo mitaani. Hivi mwanaume mzima unavaaje bukta unaenda nayo hadi sokoni na kwenye maeneo ya mikusanyiko ya watu na bado unajiona uko sawa? Kama kawaida yao, ukiwauliza kwanini wanafanya hivi watakuambia wanavaa bukta za kiume sio pensi za kike. Kama vipi basi watengenezewe papuchi za kiume wawe wanagawa uroda, isiwe taabu.​
Nchi hii ina baadhi ya wanaume wa ovyo na wenye tabia na akili za kike na kishoga kuliko kawaida. Serikali isipoingilia kati na kupiga marufuku huu ushenzi, miaka michache ijayo tutakuwa na taifa la ovyo sana.
Hivi mwanaume rijali kabisa utavaaje kipochi cha kike na kudunda nacho mtaani?
 
Alafu kuna hawa wanaovaa suruali za kubana kwa kisingizio cha slim fit, vitako vinabana, pathetic kabisa
 
Back
Top Bottom