Wanaume wanaofakamia fasheni za kike ni dalili za ushoga?

Wanaume wanaofakamia fasheni za kike ni dalili za ushoga?

Niliwahi kukataliwa na mwanamke kisa sivai jeans, sifugi nywele, siweki super black
 
Mkuu naona umeshindwa kumuelewa mtoa hoja. Yeye amewazuia kutokanyaga nyumbani kwake tu sio mtaani. Shida iko wapi mkuu?
Sasa ndo nimesema nani anajali hilo? Kwani hakuna hata anayetaka kukanyaga kwake. Ni vile anajistukia tyuuh.

Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
 
Ukifanya upekuzi na utafiti kwenye mitandao mikubwa(search engines) kama yandex gugu etc na ukatafuta kwa maneno haya machache ya kidhungu

"Scantly dressed African"
[jaribu kutafuta in antiquty] ama hata before colonization ama

kutoka kwenye journals na barua n.k kutoka kwa baadhi ya Wakoloni waliowahi kufika Africa, utagundua hakuna jipya hapa.

Wazungu wametuiga kuvaa vipensi vifupi, kuchora tatoo n.k, kutoboa pua, kuvaa vito vya thamani ikiwa ni pamoja na kuvaa bangiri na hereni kadha wa kadha Wazungu hata kuonyesha matiti kwa wanawake ilikuwa ni kama unatenda dhambi(tambua mpaka kunyonyesha mtoto hadharani walipiga marufuku huko kwao).

Tukija kwa wanaume ndio vile tena, muonekano wa mtu mweusi, hakika, unawasumbua. Mtu ana misuli, yuko cut, six pack natural na ngozi ipo glossy! Sasa hata wale wanaoshindana kwenye mashindano ya kunyanyua vyuma kama the Arnolds, unawakuta wazungu wamejipaka rangi(sun tan) ili waonekane kana wana ngozi nyeusi-which accentuates-ili waonekane kama ni 'wagumu'😅

======nitaendelea====
Ni kweli, ukiangalia historia za makabila mambalimbali ya Africa, watu walikuwa wanafunika utupu tu. Tena wanaume shupavu aka worriers walikuwa wanaonyesha misuli yao na hawakuwa wanavaa sijui shati. Wazungu na waarabu ndio walioleta Tamaduni za mavazi afrika.
 
Wanawake Mnaowahonga wanavaa vitu vya hovyo kuliko wanaume cha ajabu mnajadili wanaume wenzenu ambao hamuwachangii hata kumi ya mavazi.
 
Fanya mambo yako acha Kufatilia Maisha ya watu kama unawalisha Vile, Mind your business mzee
 
Inashangaza hasa kwenye vibukta mwingine kobilo limejichora wala hawazi bukta ama suruali imebana mbupu hazihemi...
 
Ni kweli, ukiangalia historia za makabila mambalimbali ya Africa, watu walikuwa wanafunika utupu tu. Tena wanaume shupavu aka worriers walikuwa wanaonyesha misuli yao na hawakuwa wanavaa sijui shati. Wazungu na waarabu ndio walioleta Tamaduni za mavazi afrika.
Kwahiyo unasema hata kujivika mavazi tulikuwa hatujui😅😃 sasa hata kufunika utupu unataka kutulagai kwamba sio vazi?😂😂😂

Huo ni uwongo mkubwa na ni upotoshaji kama mada ilivyokuwa, ni ya kipotoshaji.

Rejea historia ya kongo. Ukisha maliza ndio uje hapa. Zaidi ya hapo utakuwa unaropoka lugha inayotumiwa na mabaguzi(racist and bigots)za usengenyaji, uzodoaji, unyanyapaa n.k n.k

Ukweli utabaki kuwa ukweli. Waafrica kuanzia kitambo ndio waliopeleka utamaduni wa mavazi nje za nchi. Itoshe mpaka leo hii,(rejea uvaaji wa king leopold kabla na baada ya kuzamia Africa😁)wazungu ndio wanao igiza uvaaji wa ubunifu wa watu wa Africa.
 
Ni kweli, ukiangalia historia za makabila mambalimbali ya Africa, watu walikuwa wanafunika utupu tu. Tena wanaume shupavu aka worriers walikuwa wanaonyesha misuli yao na hawakuwa wanavaa sijui shati. Wazungu na waarabu ndio walioleta Tamaduni za mavazi afrika.
Kwahiyo unasema hata kujivika mavazi tulikuwa hatujui😅😃

Huo ni uwongo mkubwa na ni upotoshaji kama mada ilivyokuwa, ni ya kipotoshaji.

Rejea historia ya kongo. Ukisha maliza ndio uje hapa. Zaidi ya hapo utakuwa unaropoka na meneno ya kukaririshwa mitandaoni.

Ukweli utabaki kuwa ukweli. Waafrica kuanzia kitambo ndio waliopeleka utamaduni wa mavazi nje za nchi. Itoshe mpaka leo hii, wazungu ndio wanao igiza uvaaji wa ubunifu wa watu wa Africa.
Karibu umalizie story yako ili tuweze kubalance mzani mkuu.
Hapana. Nilichoandika sio story labda useme wewe ndie umeandika story tena ya kujitungia😂

Unasema kuweka balance hapa. Balance ya nini mkuu?
 
Hahahaaa hamna mkuu, labda hiyo kunukia mara moja moja huwa nanukiaga ingawa sidhani kama huwa inafika kwenye kiwango alichosema jamaa hapo juu.
Hapo sawa mkuu, cha muhimu usiache kunukia vizuri. Kuna perfumes za kiume nzuri kweli ikiwemo Now na 9pm, mwanaume akipulizia akapita lazma ugeuze shingo😅, harufu zake hazikeri.
 
Walamuni mama zenu na dada zenu, wamewalea na kuwahimiza sana kwenye sherehe za kitchen party haziendi mpaka shoga aje. Na washangilia mpaka gego la mwisho.

TV zilianza kuonesha tamsilia pendwa Kwa kuonesha vipande hivi vya kishoga kuiandaa jamii, Baraza letu kulikuwa bize kufungia nyimbo za kufichuo maovu ya viongozi na za kizalendo zisizo na chembe ya uchawa.
 
Hapo sawa mkuu, cha muhimu usiache kunukia vizuri. Kuna perfumes za kiume nzuri kweli ikiwemo Now na 9pm, mwanaume akipulizia akapita lazma ugeuze shingo😅, harufu zake hazikeri.
Kunukia muhimu mkuu... Itabidi niongeze hizo ulizozitaja ili nikipita wageuke😅😅😅
 
Back
Top Bottom