Wanaume wanaofakamia fasheni za kike ni dalili za ushoga?

Wanaume wanaofakamia fasheni za kike ni dalili za ushoga?

Vpochi imekuw fashion san , vjan wanavbena hadi unajiulz wamewek nn zaid ya smartphone na kitambaa cha mafua , mwingine anawek na pyfyum asee kizaz kinaisha
Ni katika kushindana na Wazee wa Haki Sawa.
 
Kwanza kama hujazoea hata pensi ya kawaida huwezi kuvaa na kutoka nayo... Kuna hivi wanavaa skuizi ni kama viutumbo fulani, vinabana ngozi chini wanapiga na viraba vyao hawana habari[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].

Kuna haja ya jando kurudishwa, maana kuna watu wanashindwa kutambua mipaka ya jinsia zao kwasababu hawakuambiwa kiume zaidi.
Watu mnachekesha hatarii. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
 
Ukifanya upekuzi na utafiti kwenye mitandao mikubwa(search engines) kama yandex gugu etc na ukatafuta kwa maneno haya machache ya kidhungu

"Scantly dressed African"
[jaribu kutafuta in antiquty] ama hata before colonization ama

kutoka kwenye journals na barua n.k kutoka kwa baadhi ya Wakoloni waliowahi kufika Africa, utagundua hakuna jipya hapa.

Wazungu wametuiga kuvaa vipensi vifupi, kuchora tatoo n.k, kutoboa pua, kuvaa vito vya thamani ikiwa ni pamoja na kuvaa bangiri na hereni kadha wa kadha Wazungu hata kuonyesha matiti kwa wanawake ilikuwa ni kama unatenda dhambi(tambua mpaka kunyonyesha mtoto hadharani walipiga marufuku huko kwao).

Tukija kwa wanaume ndio vile tena, muonekano wa mtu mweusi, hakika, unawasumbua. Mtu ana misuli, yuko cut, six pack natural na ngozi ipo glossy! Sasa hata wale wanaoshindana kwenye mashindano ya kunyanyua vyuma kama the Arnolds,
2023-Arnold-Classic-Results-1-1.jpg
unawakuta wazungu wamejipaka rangi(sun tan) ili waonekane kana wana ngozi nyeusi-which accentuates-ili waonekane kama ni 'wagumu'😅

======nitaendelea====
 
Ukifanya upekuzi na utafiti kwenye mitandao mikubwa(search engines) kama yandex gugu etc na ukatafuta kwa maneno haya machache ya kidhungu

"Scantly dressed African"
[jaribu kutafuta in antiquty] ama hata before colonization ama

kutoka kwenye journals na barua n.k kutoka kwa baadhi ya Wakoloni waliowahi kufika Africa, utagundua hakuna jipya hapa.

Wazungu wametuiga kuvaa vipensi vifupi, kuchora tatoo n.k, kutoboa pua, kuvaa vito vya thamani ikiwa ni pamoja na kuvaa bangiri na hereni kadha wa kadha Wazungu hata kuonyesha matiti kwa wanawake ilikuwa ni kama unatenda dhambi(tambua mpaka kunyonyesha mtoto hadharani walipiga marufuku huko kwao).

Tukija kwa wanaume ndio vile tena, muonekano wa mtu mweusi, hakika, unawasumbua. Mtu ana misuli, yuko cut, six pack natural na ngozi ipo glossy! Sasa hata wale wanaoshindana kwenye mashindano ya kunyanyua vyuma kama the Arnolds, unawakuta wazungu wamejipaka rangi(sun tan) ili waonekane kana wana ngozi nyeusi-which accentuates-ili waonekane kama ni 'wagumu'😅

======nitaendelea====
Karibu umalizie story yako ili tuweze kubalance mzani mkuu.
 
Ndio Mkuu mleta uzi anamaanisha kuwa marashi ya Mwaname ni harufu itokanayo na kwapa lake mwenyewe huyo ndiyo mwanaume kamili🤣
Sasa mwanaume unajipakaje marashi yananuka mtaa mzima? Na wanawake watafanya nini?
 
Siku hizi imekuwa desturi kwa baadhi ya wanaume kuvamia fasheni na tabia za kike hadi inaleta wasiwasi. Unamkuta mwanaume kipande cha baba amevaa kipochi cha kike anazurura nacho mtaani hadi unashangaa huyu jamaa vipi? Amerogwa, ni shoga au amezidiwa na homoni za kike?

Hivi hawa wanaume wanaovaa vipochi, tena wanamechisha kabisa, na kutoka navyo mitaani wana nini lakini jamani? Kwanini mtu uvae vitu vya kike? Wengine wanafikia hatua ya kuvaa bangili mikononi mwao. Lakini kuna wanaoenda mbali zaidi hadi kutoga masikio na pua na kuvaa hereni na vipini, mtawalia. Au unamkuta mwanaume kajichafua tatoo mwili mzima utadhani mwali kajipamba kabla ya kuingia kwenye ukumbi wa ndoa. Je, tukisema kwamba hawa wanaume wana homoni za kike au ushoga tutakuwa tumekosea?

View attachment 3264764
Inashangaza na kusikitisha unakutana na mwanaume kajipaka marashi yananuka mtaa mzima. Yaani unapishana naye unakwenda hatua zaidi ya 100 bado unasikia harufu ya marashi? Ukiwabana watu wa aina hii watakuambia eti wamejipaka marashi ya kiume. Ebo!

Kana kwamba haya yote hayatoshi, kuna wimbi kubwa la wanaume wanaotaka kuhalalisha uvaaji wa bukta na boxer na kuingia nazo mitaani. Hivi mwanaume mzima unavaaje bukta unaenda nayo hadi sokoni na kwenye maeneo ya mikusanyiko ya watu na bado unajiona uko sawa? Kama kawaida yao, ukiwauliza kwanini wanafanya hivi watakuambia wanavaa bukta za kiume sio pensi za kike. Kama vipi basi watengenezewe papuchi za kiume wawe wanagawa uroda, isiwe taabu.
View attachment 3264765
Nchi hii ina baadhi ya wanaume wa ovyo na wenye tabia na akili za kike na kishoga kuliko kawaida. Serikali isipoingilia kati na kupiga marufuku huu ushenzi, miaka michache ijayo tutakuwa na taifa la ovyo sana.
Aisee Dunia ina mambo, kuna hawa awanaotoboa masikio na pua na mbaya zaidi hii inafanywa na watu wanaotambulika kama kioo cha Jamii, katika Dunia hii ukifanikiwa kutambua nafasi yako inatosha mengi yanakanganya katika uhalisia wa maisha.
 
Aisee Dunia ina mambo, kuna hawa awanaotoboa masikio na pua na mbaya zaidi hii inafanywa na watu wanaotambulika kama kioo cha Jamii, katika Dunia hii ukifanikiwa kutambua nafasi yako inatosha mengi yanakanganya katika uhalisia wa maisha.
Akina Diamond na genge lake wao wanapaka hadi lipu shaina na lipu sitiki!
 
Back
Top Bottom