Wanaume wanaofanya sana mapenzi wabahili!

Wanawake hamweleweki
Tumiwapa pesa bila kuwakuna vizuri mnatafuta ben10
Tukiwakuna vizur bila pesa mnatafuta sponsor.
Kuweni na huruma hata sisi ni binaadamu tunapenda zawadi na kupetiwapetiwa sio kila siku tu kutoa.

Hawa watu hawaeleweki yani hata sijui Mungu aliwaumbaje tumuulize adam ubavu wake ulikuwa na nn
 
kaaaaaahh haya bwana
 
Kwa mlio nje ya nchi. Hivi ulaya haswa wana speed limit kiasi gani ndiyo askari akukimbize?

Nacheza gemu la Need for Speed Most Wanted lakini hata nikiwa slow nashangaa askari wananikimbiza.

Msaada tafadhali
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…