The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Pole sana aisee,Heading haijakaa vizuri. Unaliaibisha kanisa.
Umeongea kitu cha maana sana Mkuu.Hili ni dhehebu langu KANISA MOJA TAKATIFU KATOLIKI LA MITUME ila Sasa hii ni too much.
Nafikiri ifike wakati Africa sasa ijitenge na Vatican iwe African Catholic na sio Roman Catholic.
Tuwe na kanisa linalodumisha Mila, tamaduni na desturi zetu sisi kama Waafrika.
Makadrinali na Maaskofu wa Africa huu ndio wakati wenu wa kuchora mstari mwekundu.
wa kanisa gani huyo aggrey?Watanzania tuna unafiki. Hata mwezi haujapita, shoga maarufu nchini aitwaye Aggrey ameokoka na kupokelewa kwa walokole, na anafanyiwa mpango akasomee uchungaji
Sijajua jina la kanisa, ila ni la kipentekostewa kanisa gani huyo aggrey?
Mdomo huoπ₯΄Kwa wΓ galatia kuna shida sΓ na. Dini imefanywa kama danguro tuu. Kila siku kutafuta sababu za kuhalalisha kufirn.
Usiingie katika mtego. Kama elimu yako ni walau kidato cha sita kwenda juu, soma content uelewe. Lakini kama ni chini ya kidato cha sita, basi subiri utafsiriweHuyu papa ndio mpinga Kristo mwenyewe
Tuna kijana wetu mtanzania, wala sio mzunguFuateni imani zenu bila kuongozwa na hao wazungu, wanawapotosha,
Hii habari ingekua inahusu dini ya kiislam ungecomment pumba pasipo kufuata maelezoSoma maelezo uelewe mwenyewe, usiburuzwe na tafsiri ya mtu. Title ya uzi hutegemea uamuzi na dhamira ya mleta mada, na wakati mwingine elimu
Akili ni nywele, kila mtu ana zake. Fuata maelekezo ya title, sijakuzuiaHii habari ingekua inahusu dini ya kiislam ungecomment pumba pasipo kufuata maelezo
unadhani kila aliyeishia form four hajui kiingereza vema? Una mtazamo finyuUsiingie katika mtego. Kama elimu yako ni walau kidato cha sita kwenda juu, soma content uelewe. Lakini kama ni chini ya kidato cha sita, basi subiri utafsiriwe
Wapo watu wengi tu nchini wanajua kusoma na kuandika kiarabu lakini hawajui tafsiri zake hadi watafsiriweunadhani kila aliyeishia form four hajui kiingereza vema? Una mtazamo finyu
Kwa wenye akili za juu tu wanaelewa hili.Mimi naomba kuulizia la kizushi:
1. Mwizi hawezi kuja kuwa padri, mchungaji au shehe?
2. Muongo hawezi kuja kuwa padri, mchungaji au shehe?
3. Muuaji hawezi kuja kuwa padri, mchungaji au shehe?
4. Mzinzi hawezi kuja kuwa padri, mchungaji au shehe?
5. Mshirikina hawezi kuja kuwa padri, mchungaji au shehe?
6. Anayetamani mali au mke wa mtu hawezi kuja kuwa padri, mchungaji au shehe?
Kwa nini ushoga unaonekana kama 'dhambi maalum' na kwamba haistahili kusamehewa na binadamu?
Najua akili ni nywele,ila isingekua mitinduano inayowahusu rt ungefuata maelekezo?Akili ni nywele, kila mtu ana zake. Fuata maelekezo ya title, sijakuzuia
Hakuna cha lugha ngeni hapo, Vatican imeruhusu kiangalifu wanaume wanao/waliowahi kushughulikiwa au wabomoaji kujiunga na useminary ili waje kuwa mapadri kwa sharti la wao kuacha ukundufu.Soma mwenyewe hapo uelewe ndugu, usiogozwe na kichwa cha habari maana mleta mada anaweza akawa hajui lugha
Unatetea ushoga?Usiingie katika mtego. Kama elimu yako ni walau kidato cha sita kwenda juu, soma content uelewe. Lakini kama ni chini ya kidato cha sita, basi subiri utafsiriwe