Wanaume wanaojihusisha na Mapenzi ya Jinsia moja ruksa kujiunga na Upadre

Heading haijakaa vizuri. Unaliaibisha kanisa.
Pole sana aisee,
Kuamini kwako au kutokuamini hakuwezi kuubadili ukweli,

Fuateni imani zenu bila kuongozwa na hao wazungu,wanawapotosha,
Wanatumia dini kuhalalisha ushoga,kitu ambacho hakikubaliki,

Taasisi moja inapoanza kubariki na kusupport ushoga sio jambo jema kwa jamii zote,coz huko mbele itaonekana kua ushoga ni jambo la kawaida tu,

Watu wote bila kujali imani zao na tofauti zao, wanatakiwa kuungana na kupinga hizi ajenda za wazungu kusambaza ushoga kwa kutumia dini.
 
Umeongea kitu cha maana sana Mkuu.
 
Watanzania tuna unafiki. Hata mwezi haujapita, shoga maarufu nchini aitwaye Aggrey ameokoka na kupokelewa kwa walokole, na anafanyiwa mpango akasomee uchungaji
wa kanisa gani huyo aggrey?
 
Huyu papa ndio mpinga Kristo mwenyewe
Usiingie katika mtego. Kama elimu yako ni walau kidato cha sita kwenda juu, soma content uelewe. Lakini kama ni chini ya kidato cha sita, basi subiri utafsiriwe
 
Soma maelezo uelewe mwenyewe, usiburuzwe na tafsiri ya mtu. Title ya uzi hutegemea uamuzi na dhamira ya mleta mada, na wakati mwingine elimu
Hii habari ingekua inahusu dini ya kiislam ungecomment pumba pasipo kufuata maelezo
 
Kanisa linazidi kujichanganya,tutaona mengi,hii ni sawa na kuruhusu unywe pombe lkn usilewe, wakati pombe tayari inakilevi!!,hawa jamaa wanastaajabisha!!
 
Usiingie katika mtego. Kama elimu yako ni walau kidato cha sita kwenda juu, soma content uelewe. Lakini kama ni chini ya kidato cha sita, basi subiri utafsiriwe
unadhani kila aliyeishia form four hajui kiingereza vema? Una mtazamo finyu
 
unadhani kila aliyeishia form four hajui kiingereza vema? Una mtazamo finyu
Wapo watu wengi tu nchini wanajua kusoma na kuandika kiarabu lakini hawajui tafsiri zake hadi watafsiriwe
 
Kwa wenye akili za juu tu wanaelewa hili.
 
Soma mwenyewe hapo uelewe ndugu, usiogozwe na kichwa cha habari maana mleta mada anaweza akawa hajui lugha
Hakuna cha lugha ngeni hapo, Vatican imeruhusu kiangalifu wanaume wanao/waliowahi kushughulikiwa au wabomoaji kujiunga na useminary ili waje kuwa mapadri kwa sharti la wao kuacha ukundufu.
Kuficha ficha core problem kwa kisingizio cha watu kuwa hawajaelewa lugha ni ama kushiriki au kufumbia macho ussengen huo.
 
Usiingie katika mtego. Kama elimu yako ni walau kidato cha sita kwenda juu, soma content uelewe. Lakini kama ni chini ya kidato cha sita, basi subiri utafsiriwe
Unatetea ushoga?
 
πŸ™‚ πŸ™‚ πŸ™‚ πŸ™‚ wale wakatoliki wa kazuramimba sijui wapo kwenye hali gani. Bado sijutii uamuzi wangu wa kuachana kabisa na mambo ya dini hususani ukatoliki.

NB: nimekuwa kijana wa altareni kwa zaidi ya miaka 9

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…