Wanaume wanaotembelea maisha ya wazazi wao

Wanaume wanaotembelea maisha ya wazazi wao

Baba ana uzoefu wa ndoa, lazima anipe madini. Mbona nyie mnapelekwa unyagoni sijui kichenipatiii....
Mkuu kama wewe uliishia form foru D ndiyo mwisho wa elimu yako, haina haja ya kwenda ukweni na kutanguliza baba yangu ni engineer. Pambana na hali yako.
 
maisha hayana formula, situation sio black and white, ina tegemea na vitu vingi sana, inaweza kuwa nzuri au mbaya, huezi kutoa conclusion ya ivo kwa jinsi ulivoelezea. Nadhani kikubwa n kama nyie wenyewe mnaelewana na mmeridhika na hali ya kila mmoja wenu regardless ilivo. Usiwahukumu ndo mahali walipoaanzia kimaisha ulitaka wasemeje sasa. at least wamekua wakweli toka mwanzo.
 
Mkuu kama wewe uliishia form foru D ndiyo mwisho wa elimu yako, haina haja ya kwenda ukweni na kutanguliza baba yangu ni engineer. Pambana na hali yako.

Ikitokea mume amekufa huyo baba engineer unafikiri atakuacha ateseke na wajukuu wake ? Kuna uwezekano baba engineer kubeba majukumu ya mtoto... Na nyie watoto wa kike muwe wajanja unapo takwa hakikisha huko uendapo kuolewa kuna ka unafuu
 
maisha hayana formula, situation sio black and white, ina tegemea na vitu vingi sana, inaweza kuwa nzuri au mbaya, huezi kutoa conclusion ya ivo kwa jinsi ulivoelezea. Nadhani kikubwa n kama nyie wenyewe mnaelewana na mmeridhika na hali ya kila mmoja wenu regardless ilivo. Usiwahukumu ndo mahali walipoaanzia kimaisha ulitaka wasemeje sasa. at least wamekua wakweli toka mwanzo.
Ninamaanisha kijana kuwa mwanume kamili, mweleze baba mkwe kuwa mimi nilimaliza form four majibu hayakuwa mazuri na sasa ninajishughulisha na biashara..... lakini inanipa kipato na binti yako hata lala na njaa. Sasa mambo ya kuanza lakini baba yangu ni engineer ndiyo baba mkwe anashindwa kuelewa upeo wa mkwe kufikiri.
 
Ikitokea mume amekufa huyo baba engineer unafikiri atakuacha ateseke na wajukuu wake ? Kuna uwezekano baba engineer kubeba majukumu ya mtoto... Na nyie watoto wa kike muwe wajanja unapo takwa hakikisha huko uendapo kuolewa kuna ka unafuu
Uingineera wa baba hauhusiani na mapenzi yetu, kama baba atatoa msaada uwe labda mtaji lakini kama mume wangu uwe na uwezo wa kuamka asubuhi na kutafuta mkate.
 
Uingineera wa baba hauhusiani na mapenzi yetu, kama baba atatoa msaada uwe labda mtaji lakini kama mume wangu uwe na uwezo wa kuamka asubuhi na kutafuta mkate.

Sasa kwani baba akimsaidia mwanae kuna shida gani ? Let say uneole na mtoto wa JPM, mzee JPM akisema muamie kwake kwa ajili ya usalama, huto kula vya baba Jeska na kunya kwenye vyoo vyake ?
 
Sasa kwani baba akimsaidia mwanae kuna shida gani ? Let say uneole na mtoto wa JPM, mzee JPM akisema muamie kwake kwa ajili ya usalama, huto kula vya baba Jeska na kunya kwenye vyoo vyake ?
Na uhai wake ukikatishwa ghafla tunarudi tena Kwamtogole kwenye vyumba vyetu viwili? Ukiamua kuoa uwe tayari kupambana na maisha kwa uwezo wenu.
 
Je ? Akitangulia kufa mtoto ?
Anaweza kutangulia kufa mtoto na wazazi wakakwambia hatuna kikubwa tunaweza kukusaidi kulea wajukuu wetu, na mimi kama mama sitakubaliana na hilo. Lakini main issue here is a man should be proud with who he is instead of addressing his father's position.
 
Anaweza kutangulia kufa mtoto na wazazi wakakwambia hatuna kikubwa tunaweza kukusaidi kulea wajukuu wetu, na mimi kama mama sitakubaliana na hilo. Lakini main issue here is a man should be proud with who he is instead of addressing his fathers position.


Ivi mkweo akiwa kama JPM au mzee bakharesa au Mengi au Bill Gates kweli kuna kuchacha hapo hata mtoto wao akifa. ? Namashaka tu JPM mzurumati ila hao wengine sidhani kama watakuputa mkwe
 
Ivi mkweo akiwa kama JPM au mzee bakharesa au Mengi au Bill Gates kweli kuna kuchacha hapo hata mtoto wao akifa. ? Namashaka tu JPM mzurumati ila hao wengine sidhani kama watakuputa mkwe
Kwa upande wangu mimi wazazi wangu wamenifundisha maisha ni kujitafuita mwenyewe na si kutegemea cha mtu. Hii imetusaidia sana nyumbani kuwa na upendo kwani hakuna anaetegemea mali ya mzee kila mtu amejitafutia cha kwake. Hata kama ningeolewa na mtoto wa Bill Gate ningemuongoza mume wangu tupigane na maisha, tunaweza kuomba msaada kama tumekwama.
 
Kwa upande wangu mimi wazazi wangu wamenifundisha maisha ni kujitafuita mwenyewe na si kutegemea cha mtu. Hii imetusaidia sana nyumbani kuwa na upendo kwani hakuna anaetegemea mali ya mzee kila mtu amejitafutia cha kwake. Hata kama ningeolewa na mtoto wa Bill Gate ningemuongoza mume wangu tupigane na maisha, tunaweza kuomba msaada kama tumekwama.


Oh! Hongera sana, hapa tupo pamoja... Huko kwenye coment za juu nilikua nakuzingua tuu. Ok, hapa unafaa kua mke kwa akili hiyo japo mengine sijui
 
Hivi kipindi hiki kuna mtu anaweza kusimama na kujisifu baba yake ni mkuu wa mkoa?

Kweli vijana mnayo changamoto!
 
Kwa upande wangu mimi wazazi wangu wamenifundisha maisha ni kujitafuita mwenyewe na si kutegemea cha mtu. Hii imetusaidia sana nyumbani kuwa na upendo kwani hakuna anaetegemea mali ya mzee kila mtu amejitafutia cha kwake. Hata kama ningeolewa na mtoto wa Bill Gate ningemuongoza mume wangu tupigane na maisha, tunaweza kuomba msaada kama tumekwama.

Smart lady! Kuna watu matajiri kwenye wosia wao wanaandika, nikifa leo urithi wapewe mfano, animals society; mfano mbwa au paka! Hii kitu kuna moja naifahamu ilishatokea, mama alikufa urithi wake wa mamilioni akawaachia paka wake! TRUE STORY!
 
Ukikaa na uwaridi utanukia, hata wazazi wanaweza muuliza Huyo mchumba hilo swali wakajibiwa hivyo wanaweza wasishtuke kutokana na Hali halisi iko hivi Kama wazazi wetu wananafas Fulani Kwenye Jamii watoto wao wengi Huwa si vijana wa kusota Mitaani wamalizapo elimu za juu Kama wengine chunguza na kutokana na wanawake wengi kupenda kitonga hawez kuona Tofauti na wazazi wetu wakiswahili watafurah kuona mtoto wao kapata kibopa japo kaz Hana.

Pili mwanaume akisema Hana kaz yeye mwanafunzi akaishia hapo anajua chance ya kukupata ni ndogo, japo sio wanawake wote wanatabia Hiyo.
 
Back
Top Bottom