Wanaume wanaotembelea maisha ya wazazi wao

Wanaume wanaotembelea maisha ya wazazi wao

Ukikaa na uwaridi utanukia, hata wazazi wanaweza muuliza Huyo mchumba hilo swali wakajibiwa hivyo wanaweza wasishtuke kutokana na Hali halisi iko hivi Kama wazazi wetu wananafas Fulani Kwenye Jamii watoto wao wengi Huwa si vijana wa kusota Mitaani wamalizapo elimu za juu Kama wengine chunguza na kutokana na wanawake wengi kupenda kitonga hawez kuona Tofauti na wazazi wetu wakiswahili watafurah kuona mtoto wao kapata kibopa japo kaz Hana.

Pili mwanaume akisema Hana kaz yeye mwanafunzi akaishia hapo anajua chance ya kukupata ni ndogo, japo sio wanawake wote wanatabia Hiyo.
Mkuu hiyo ID yako kikwetu/kule kwetu ni tusi!
 
MIE HUWA SIPENDI PALE UNAPOMTONGOZA MWANAMKE THEN ANAULIZA UNAFANYAKAZI KAZI GANI NA MSHAHARA WAKO KIARI GANI
 
Wanawake wana hiyo tabia ya kuuliza kazi unayofanya na mshahara wako, ukilogwa ukamuambia anakufilisi kwa kukugeuza Baba yake.
 
Mi kuna demu nilishawahi kumtongoza kichuo chuo, unajua alinipa jibu gani!? "Mi si date na wanafunzi!"
Sasa kwa kauli kama hio unadhani kuna kutoboa kweli hapo bila kutumia affiliation ya Mshua.
 
Unakutana na mkaka mzuri umempenda kwasababu ni msafi, shati limepigwa pasi au t-shirt aliyovaa imeendana na rangi ya suruali. Mnaanza kuongea, unamwambia mfano kwa wale wa chuo, niko chuo mwaka wa tatu, ninasoma science, hapa confidence inaanza kupungua anakwambia mimi baba yangu ni mkuu wa mkoa wa DSM, hivi mimi ninampango wa kumdate baba yako unavyonianzia hivyo?

Imetokea umempenda, mmedate, sasa muda umefika unamwambia kabisa kuwa plan yako ungependa uolewe uzae angalau mtoto mmoja kabla hujafikiria kufanya maters. Anaahidi kabisa ni yeye atakae kuoa. Unampeleka kwenu anaongea na baba yako, kijana unafanya kazi gani, anaanza mimi baba yangu ni ambassador jamani hapa anaetaka kutoa posa ni baba yako au ni wewe?

Nikusahihishe tuu sehemu moja katika mada yako, kiutamaduni na mila za jamii nyingi za kiafrika,Baba ndo ana jukumu la kutoa posa na Mahari kwa ajili ya kajana wake wa kiume. Ni vile tuu unakuta wazazi wengi vyuma vimekaza hivyo vijana wanalipa wenyewe mahari.

Ila hayo mambo ya baba yangu ni raisi, balozi nakuacha nayo uendelee kuhoji hao wanaume. Heheheeeh
 
Samahani huwa watu wazima hawaulizani maswali ila je ukishajibu hivyo huwa anafukuzwa au mahusiano ndio yanashamiri
 
Unakutana na mkaka mzuri umempenda kwasababu ni msafi, shati limepigwa pasi au t-shirt aliyovaa imeendana na rangi ya suruali. Mnaanza kuongea, unamwambia mfano kwa wale wa chuo, niko chuo mwaka wa tatu, ninasoma science, hapa confidence inaanza kupungua anakwambia mimi baba yangu ni mkuu wa mkoa wa DSM, hivi mimi ninampango wa kumdate baba yako unavyonianzia hivyo?

Imetokea umempenda, mmedate, sasa muda umefika unamwambia kabisa kuwa plan yako ungependa uolewe uzae angalau mtoto mmoja kabla hujafikiria kufanya maters. Anaahidi kabisa ni yeye atakae kuoa. Unampeleka kwenu anaongea na baba yako, kijana unafanya kazi gani, anaanza mimi baba yangu ni ambassador jamani hapa anaetaka kutoa posa ni baba yako au ni wewe?
Idiot
 
Back
Top Bottom