Huna hoja mkuu unafikiri kuwa mwanaume ni kuvaa suruali na kuchomekea shati! It's all about responsibilies and treat everybody with respect.
Kuna watu wana akili ndogo sana mkuu..nmegundua ni kama tunapoteza muda tu... mimi kwenye hii issue nliwauliza hawa vijana wanamuziki na wa bongo movie wanavaa kuwaiga wamasai au wana waiga wakina pdidy na lili wayne..?! Lakini sioni mtuakitoa jibu linaloeleweka au la moja kwa moja...
Na hata skirt zipo za wanaume lakini zote ni skirt. Ila za kiume zinatakiwa ziwe fupi kama hizi hapa chini. Kesho nenda kwa fundi umwambie akushonee sketi za kiume uanze kuvaa.
View attachment 159886
View attachment 159887
Vielelezo vipi tena unataka wakati tumetoa mifano zaidi ya kumi..si kila kitu kiko kwenye kitabu..!? vitu vingine unatumia reasoning ya kawaida tu..Akili ndogo hulalamika bila vielelezo wala base!!!!!!!
Say wewe una akili kubwa ume acquire wapi knowledge?????!!!!
Weka basi vitabu na websites wenye akili ndogo wakasome mkuu!!!!!!
Ethnocentric wanna be!!!
Amelaniwa mwanamme mwenye kuvaaa kipambo cha kike na vilevile amelaaniwa mwanamke anaevaa kipambo cha kiume kazi kwenu kupanga ni kuchaguaCheni ni kitu kizuri sana ilmradi zisiwe zile za kuudhi
Nani kakuambia cheni na heren ni kipambio cha wanawakeAmelaniwa mwanamme mwenye kuvaaa kipambo cha kike na vilevile amelaaniwa mwanamke anaevaa kipambo cha kiume kazi kwenu kupanga ni kuchagua
Serikale ituuwe πAkishaonekana sexy nini kitafuata? Nyie ndio mnaochochea vitendo vya kishoga hapa nchini.
π π π π π πUNAJUA DALILI ZA USHOGA HAZIJI KAMA CHAFYA!
KIDOGO KIDOGO:
ANAFUGA KUCHA MOJA NDEFU
ANACHONGA NYUSI,
ANAWEKA RANGI MWENYELE,
ANAONGEA KAMA DADAKE,
ANAANZA KUVAA MAVAZI NA MAPAMBO YA KIKE
ANABADIRISHA KUTEMBEA,
ANABADIRISHA MATUMIZI YA SEHEMU YA KUNYEA!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]UNAJUA DALILI ZA USHOGA HAZIJI KAMA CHAFYA!
KIDOGO KIDOGO:
ANAFUGA KUCHA MOJA NDEFU
ANACHONGA NYUSI,
ANAWEKA RANGI MWENYELE,
ANAONGEA KAMA DADAKE,
ANAANZA KUVAA MAVAZI NA MAPAMBO YA KIKE
ANABADIRISHA KUTEMBEA,
ANABADIRISHA MATUMIZI YA SEHEMU YA KUNYEA!, INAKUWA KUNYEA NA KUKOJOLEWA