Wanaume wanaovaa cheni na hereni wanataka nini?

Wanaume wanaovaa cheni na hereni wanataka nini?

Co mbaya twende kwa evidence.
Unaweza kutupia macho kwey bible kumb la torati 22:5b inasema;

Wala Mwanamume asivae mavazi ya mwanamke; kwa maana kila afanyaye mambo hayo ni machukizo kwa BWANA, Mungu wako.

Angalia na wewe ulivyoishiwa hoja! Sasa cheni au bangili ni mavazi? Dah kazi ipo!
 
Embu jisome mara mbili mbili utaelewa tatizo lako..naona ww kuniambia hivyo inakufanya wewe ujiskie vizuri na uone umetoa point sana..by the way ni kweli mimi nasimamia mawazo yangu..na toka mwanzo kwenye uzi huu ndo nlichoganya na sibadilishi..

Naomba nikuulize maswali machache niachane na. Huu mjadala. Unijibu ndio au hapana.

1.Mwanaume kuvaa cheni,bangili au Pete kunamfamya kuwa irresponsible?

2. Tabia ya mtu Inasababishwa na muonekano wake?

3. Kuwa shoga lazima uvae cheni au bangili?

4. Maadili ya mtu ni tabia yake au muonekano wa mavazi?
 
Embu jisome mara mbili mbili utaelewa tatizo lako..naona ww kuniambia hivyo inakufanya wewe ujiskie vizuri na uone umetoa point sana..by the way ni kweli mimi nasimamia mawazo yangu..na toka mwanzo kwenye uzi huu ndo nlichoganya na sibadilishi..

Sijisikii vizuri ila nakuonea huruma na stigma ulionayo! Huwezi kuingia kwenye mjadala ukiwa na msimamo mkuu! Kama una msimamo tayari mjadala wa nini? Unaingia kwenye mjadala na hoja na mawazo huru! Kutobadilisha msimamo wako ni kuonyesha huna ukomavu wa fikra au unaumwa, please do seek psychiatric evaluation at the nearest hospital.
 
Sijisikii vizuri ila nakuonea huruma na stigma ulionayo! Huwezi kuingia kwenye mjadala ukiwa na msimamo mkuu! Kama una msimamo tayari mjadala wa nini? Unaingia kwenye mjadala na hoja na mawazo huru! Kutobadilisha msimamo wako ni kuonyesha huna ukomavu wa fikra au unaumwa, please do seek psychiatric evaluation at the nearest hospital.
Wewe leta mambo ya siasa hapa.. mimi nimeingia kwenye mjadala huu nikiwa na MSIMAMO kwamba mwanaume kuvaa hereni, bangili, mikufu, mapete ya hadija kopa haifai kwa sababu ni mapambo ya kike..huo msimamo nimekujanao kwenye huu uzi..sasa ukisema hoja sijui nini..hapa sipo kwenye siasa za nguvu ya hoja..hivi mkuu hamwezagi kutoa mawazo yenu bila kumuita mtu kichaa, unaumwa na nk..unajua hiyo ni dalili ya compansatory behavior..kama unaziamini hoja zako si lazima uzipe nguvu kwa kumwambia mtu anaumwa, au mywa viroba and all that..
 
Naomba nikuulize maswali machache niachane na. Huu mjadala. Unijibu ndio au hapana.

1.Mwanaume kuvaa cheni,bangili au Pete kunamfamya kuwa irresponsible?

2. Tabia ya mtu Inasababishwa na muonekano wake?

3. Kuwa shoga lazima uvae cheni au bangili?

4. Maadili ya mtu ni tabia yake au muonekano wa mavazi?
Tumetoa haya majibu zaidi ya mara ishirini na mifano kibao..soma post zilizopita..ila in summary mwanaume kuvaa mavazi au urembo za wanawake haifaii..lkn nlisahau pia kuna tofauti kati ya men na boys..kwa hiyo sishangai..
 
Tumetoa haya majibu zaidi ya mara ishirini na mifano kibao..soma post zilizopita..ila in summary mwanaume kuvaa mavazi au urembo za wanawake haifaii..lkn nlisahau pia kuna tofauti kati ya men na boys..kwa hiyo sishangai..

Huna hoja mkuu unafikiri kuwa mwanaume ni kuvaa suruali na kuchomekea shati! It's all about responsibilies and treat everybody with respect.
 
Huna hoja mkuu unafikiri kuwa mwanaume ni kuvaa suruali na kuchomekea shati! It's all about responsibilies and treat everybody with respect.
Ngoja na mm nijidai hamnazo sasa...kwa hiyo hata kama mwanaume uvae gauni lkn upo responsible na unaheshimu watu ni sawa tu...lkn hiyo ya responsibility na respect ni sifa ya binadamu wote mwanaume na mwanamke..(it common to both sex) je nini kinachomtofautisha mwanamke na mwanaume kitabia na kimuonekano..?!
 
Ngoja na mm nijidai hamnazo sasa...kwa hiyo hata kama mwanaume uvae gauni lkn upo responsible na unaheshimu watu ni sawa tu...lkn hiyo ya responsibility na respect ni sifa ya binadamu wote mwanaume na mwanamke..(it common to both sex) je nini kinachomtofautisha mwanamke na mwanaume kitabia na kimuonekano..?!

I'm done and out, can't argue with you no more, only a fool lean upon his own misunderstanding.
 
1. Sijui kama mimi naandika mengi au cognitive failure ndio sababu!!!!!!!!
2. Jamii ipi unazungumzia, hawa watu wana wazazi na wana kwao ujue jamii unayodhani sio iliyopo ki uhalisia mambo yamebadilika kwa kasi sana; hicho kitabu cha mwaka gani na kinaitwaje au japo author nasi tusome mkuu!!!!!Lakini unajua knowledge sio stagnant so kitabu ni mwanga tu haimaanishi ukomalie tu hata kama ni cha 1970's!!!!!! Zamani fundal pressure ilikuwa applicable vipi siku hizi?????!!!!
3. Jamii ya Tanzania wanaume hawasuki na kuvaa hereni ????!!!!! Una hakika???!?
4. Hivi kwenye behavioural science uliambiwa "all relatively unpleasant" ni "abnormal"????!!!!

moses-maasai-warrior_backpack-program.png
9k=
images

55520_c4c62053-0a03-4e66-97be-43fa67e7a650.JPG

Tatizo la wasomi wetu wa kiafrika ni kusoma bila kuelimika! Sasa huyu naye na medical school aliyosoma tunamwita msomi katika jamii yetu ila je ameelimika au elimu aliyoenda kupata ni ya kukariri tu na kucopy and paste.
Au mpaka msomi wewe uone wazungu wamekubali kanahapo chini ndio nawewe utakubali na kutambua utamaduni wako nasikitika sana. Nimeamua kutumia picha ili hata wenye uelewa mdogo waelewe.
Maasai%20Warrior%20Adventure%20Training%20Kenya.jpg

Sikuona maana ya kuweka hizi picha za wamasai na mavazi yao hapa. Ina maana uvaaji wa hereni kwa wanaume unahalalishwa na wamasai kuvaa lubega na kuigwa na watalii wa kizungu?

Kumbe kuvaa hereni kwa wanaume ni utamaduni wa kitanzania? Mimi nilikuwa sifahamu hilo. Hebu tufafanulie vizuri hapa mkuu wangu.
 
Sikuona maana ya kuweka hizi picha za wamasai na mavazi yao hapa. Ina maana uvaaji wa hereni kwa wanaume unahalalishwa na wamasai kuvaa lubega na kuigwa na watalii wa kizungu?

Kumbe kuvaa hereni kwa wanaume ni utamaduni wa kitanzania? Mimi nilikuwa sifahamu hilo. Hebu tufafanulie vizuri hapa mkuu wangu.

Usijali wala hizo picha ni furahisha genge tu hazina maana yoyote kama ulivyosema,uko sahihi!!!!
Hapana mkuu ni wamasai wa Turkey hao,si wanaume wa Kitanzania hao kwa hiyo sio utamaduni wa mojawapo ya kabila ya Kitanzania!!!!!!!!

Au ni mashoga mkuu we unaonaje?????!!!
 
Mwanaume kuvaa hereni,...?!kwa kweli big NOOO..Kwa mtazamo wangu.''I hate mwanaume kuvaa hereni'',huwa namshusha thamani,
 
Sikuona maana ya kuweka hizi picha za wamasai na mavazi yao hapa. Ina maana uvaaji wa hereni kwa wanaume unahalalishwa na wamasai kuvaa lubega na kuigwa na watalii wa kizungu?

Kumbe kuvaa hereni kwa wanaume ni utamaduni wa kitanzania? Mimi nilikuwa sifahamu hilo. Hebu tufafanulie vizuri hapa mkuu wangu.
Kuna watu wana akili ndogo sana mkuu..nmegundua ni kama tunapoteza muda tu... mimi kwenye hii issue nliwauliza hawa vijana wanamuziki na wa bongo movie wanavaa kuwaiga wamasai au wana waiga wakina pdidy na lili wayne..?! Lakini sioni mtuakitoa jibu linaloeleweka au la moja kwa moja...
 
Usijali wala hizo picha ni furahisha genge tu hazina maana yoyote kama ulivyosema,uko sahihi!!!!
Hapana mkuu ni wamasai wa Turkey hao,si wanaume wa Kitanzania hao kwa hiyo sio utamaduni wa mojawapo ya kabila ya Kitanzania!!!!!!!!

Au ni mashoga mkuu we unaonaje?????!!!

Usijali, sasa jawabu la kwanini wanaume wanavaa mikufu na hereni limepatikana--wanaume wavaao hereni wanadumisha mila za kimasai (mila za kitanzania). Hao wamasai na wazungu wote ni raia wa Tanzania, hivyo wanadumisha utamaduni wa mtanzania. Tazama jinsi wanavyopendeza kwa kuvaa mikufu, kusuka nywele, kuvaa shanga kiunoni na kuvaa hereni, sketi na pete. Jawabu limepatikana--asante kwa kutufunulia ukweli huu. Haya, wanaume wa kitanzania endeleeni kuvaa shanga viunoni, kutoga masikio na kuvaa hereni, kuvaa bangili, sidiria na sketi. Hakuna tatizo lolote kwani mnadumisha mila zetu za kitanzania!!!!!!
 
Usijali, sasa jawabu la kwanini wanaume wanavaa mikufu na hereni limepatikana--wanaume wavaao hereni wanadumisha mila za kimasai (mila za kitanzania). Hao wamasai na wazungu wote ni raia wa Tanzania, hivyo wanadumisha utamaduni wa mtanzania. Tazama jinsi wanavyopendeza kwa kuvaa mikufu, kusuka nywele, kuvaa shanga kiunoni na kuvaa hereni, sketi na pete. Jawabu limepatikana--asante kwa kutufunulia ukweli huu. Haya, wanaume wa kitanzania endeleeni kuvaa shanga viunoni, kutoga masikio na kuvaa hereni, kuvaa bangili, sidiria na sketi. Hakuna tatizo lolote kwani mnadumisha mila zetu za kitanzania!!!!!!

Umesahau pads mkuu!!!!
 
Back
Top Bottom