Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Shingoni kwani mwanaume anavaa wapi tena?Cheni ya wapi tena dear....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shingoni kwani mwanaume anavaa wapi tena?Cheni ya wapi tena dear....
Shingoni kwani mwanaume anavaa wapi tena?
Uyu dogo anakuchokoza tu akamfunze mchumbawe kuendesha vitz bana
Kaizerrrr.....una wivuuuu
Shingoni kwani mwanaume anavaa wapi tena?
Hahahaha nimekustukia bana....
Eti unakutana na mwanaume njian kavaa shanga kiunoni,naam naye anasema ni kwenda na wakati na /au yeye huko huru kuishi atakavyo!
Ahaaa....si unajua nimekuta mazungumzo yako katikati.
Hehehe majibu unayo sema huyataki tu. Sasa kama usukaji wa Diamond ni tofauti na wa mmasai sijui naanzeje kujadiliana na wewe hapo!? Style hio hio akisuka mmasai ni poa lakini mwingine ni ushoga!! Aisee.
Kama mkufu na bangili anazovaa mmasai wa kiume nikichukua halafu nivae mimi basi zinakua ni urembo wa kike, sijui hio metamorphis imetokeaje hapo! Hehehehe! Elimu za kukariri zina kazi sana.
Cultural norms are very dynamic and relative tpaul, hio jamii unayoitetea hapa kuwa inaona kuvaa bangili, hereni, kusuka na kadhalika kuwa ni UKIKE nafikiri ni jamii ya kichwani kwako! Hapa hapa bongo kuna ma director wa kampuni za maana tu wamesuka rasta, mwingine namfahamu ana hereni. Sasa sijui ni jamii gani hio ambayo ni abnormal.
Siafu dume,kama kuna mtu ameshindwa kuelewa comments zako ni tabia za uboishi na kutafuta kuhalalisha visivyo halali.
Nimefanya ~"job interviews" nyingi sana sijawahi ona mtu wa kiume kaja na pete,cheni,hereni,na utumbo mwingine.Hata hao wamasai hawavai lubega,wote wanakuwa smart kwani ndivyo jamii inataka hata kama malezi na makuzi yako wazazi wako walikuruhusu kuvaa hayo makitu.
ILA KUPAMBANA NA USHOGA KAZI KWELI KWELI.
Kusoma na kuelimika wewe unachuliaje..sina mameno mengi sana maana wabongo tukishidwa hoja tunakimbilia kuattack personality ..kama kusoma na kuelemika ni kukubali mwanaume kuvaa mapambo ya kike...kwenye jamii yetu tunayoishi kila siku...basi sijaelimika kabisa..nlipoteza ada tu![]()
![]()
![]()
![]()
Tatizo la wasomi wetu wa kiafrika ni kusoma bila kuelimika! Sasa huyu naye na medical school aliyosoma tunamwita msomi katika jamii yetu ila je ameelimika au elimu aliyoenda kupata ni ya kukariri tu na kucopy and paste.
Au mpaka msomi wewe uone wazungu wamekubali kanahapo chini ndio nawewe utakubali na kutambua utamaduni wako nasikitika sana. Nimeamua kutumia picha ili hata wenye uelewa mdogo waelewe.
![]()
Unaongea mambo ya kufikirika..ongea maisha halisi.. Kwenye jamii yetu..nenda zoom kaangalie how to prepare for interview ..!!Umeshasema job interview ambayo kwa mtazamo wa wengi wanapenda kuona mtu amekuja na suti mkuu! Kwani wewe huvai kaptura au fulana? Kwanini haifai kwenda na kaptura kwenye interview? Kwani Ina maanisha ukivaa katika mazingira tofauti ni makosa? Lakini kwangu Kama namfanyia interview mtu yoyote sitojali amevaa cheni! Kwani cheni ndio inafanya kazi? Nikikufanyia hata wewe interview pamoja na suti yako lakini Kama huna uwezo nitakutimua tu.
Unaongea mambo ya kufikirika..ongea maisha halisi.. Kwenye jamii yetu
wewe unazo hereni za kiume? je, sketi na gauni za kiume unazo pia?
Upo lkn haukubaliki kwenye jamii kwa ujumla hata kisiasa mimi na wewe tunajua haukubaliki...na hao wengine si wavae hereni..lalkini mm na ww tunajua ukhalalisha wanaume kuvaa mapambo ya wanawake eti kisa tu jamii inabadilika ni rahisi kuhalalisha vitendo vingine hivyo kwa base hiyo hiyo..na mimi sioni kama ni uongo mm nlishafika hukumu kwamba haitakiwi mwanaume kuvaa mapambo ya kikeMkuu ukiwa mwaminifu kwa nafsi yako je ushoga na usagaji hapa kwetu haupo kweli. Hao waliohalalisha kwenye nchi zao haina maana kwamba wao wana mashoga wengi kuliko sisi, je huoni kuwa vitendo hivi hapa kwetu vimeshamiri hadi mwanaume akimfumania mkewe basi hawara wa mwanamke huingiliwa kinyume na maumbile. Uliwahi kuona wanajamii wakipinga ufirauni huu badala yake wameuita mchezo huu tigo, tujiulize je hao huwa wamevaa hereni. Kumbuka kuna kijana aliuawa kwa kuliwa na mbwa maeneo ya bichi wakati wanatigoana , kijana yule alikua havai hereni lkn alikua si riziki.
Unajua mjadala huu ni ngumu kufikia muafaka kwa sababu tayari tulisha fikia hukumu.
Mbona umenarrow uzi kwenye chain/mkufu..?!Kiwango chako cha uelewa ni kidogo mno! Unaposema mambo ya kufikirika una maanisha kitu gani? Kama unaona tabu mtu kuvaa cheni kwenye interview Kwanini usiruhusu watu kuja na kaptura? Kwanini ni sawa kuvaa kaptura sehemu tofauti na kwenye interview sio tatizo? Lakini ni dhambi kuvaa cheni kwenye mazingira hayo hayo?!
Ni freedom of choice mwanaume kuvaa hereni..!? Unajua haya mengine ni ushamba wa sisi watanzania...watu wanaona wale wanaovaa hayo mahereni ni wajanja kumbe ni ushamba na kukosa exposure wakati mwingine..?zipoo kamuulize diamond akuonyeshee! freedom of choice hata kama avae hereni masikio yote mawili kama mwanaume ataendelea kuwa mwanaume!!weye kama inakukera waache wafanye hayo..punguza ulalamishi dume ziima! ni ulimbukeni kama hata saa huvai kisa waofia kuhisi umevaa bangili..!
zipoo kamuulize diamond akuonyeshee! freedom of choice hata kama avae hereni masikio yote mawili kama mwanaume ataendelea kuwa mwanaume!!weye kama inakukera waache wafanye hayo..punguza ulalamishi dume ziima! ni ulimbukeni kama hata saa huvai kisa waofia kuhisi umevaa bangili..!
Mbona umenarrow uzi kwenye chain/mkufu..?!