tpaul
JF-Expert Member
- Feb 3, 2008
- 24,225
- 22,632
- Thread starter
- #41
Babashopu unaenda huendi, au hata saluni basi unaendaga? Ukifika huko bila shaka huwa unamwambia huyo kinyozi wako jinsi gani akunyoe sio, ni kwa nini basi unachagua mtindo wakati wewe mwanaume... kwa nini usitenge tu hilo bichwa lako kama kifuu... lol.
mkuu, mimi sijakuzuia kuvaa hereni, mkufu na vikuku. ukipenda hata SHANGA vaa tu.
kufananisha kukata nywele na mavazi ni vitu viwili tofauti. na kama unadhani kunyoa nywele ni fasheni kama kuvaa hereni, mbona hujawahi kusuka nywele zako au kupaka wanja? kwani kusuka na kupaka wanja sio fasheni?