Na wakisifiwa wataongeza pete kubwa kubwa;bangili;wanja;lips stick; mwishowe wanakuwa washindan wa wanawake.Wanaanza kupakatwa kwa kufikiri wanawake wanafaidi sana.....poa waarabu wanawasubiri endelea kujipodoa isitoshe malinda ni yako.
Niwe mkweli saa yangu mkononi saa nzuri ya 200k au 300k , cheni yangu ya silver nyembamba isiyokua na kidani na visuruali vyangu kadet na vishati vyangu vya kunienea na sio oversize na ichwani nywele zangu fupi na kwenye kidevu hakuna ndevu huku kucha za mikono zikiwa fupi na nina nukia utuli ndo hua navaa halafu leo uhamasishe niache kuvaa cheni?? Whaaaat shit is this
Mkuu, nakushukuru kwa kunyoosha mjadala.Na hiki hasa ndio kiini cha mjadala huu. Je mwanaume anayevaa hereni na mkufu anavaa ili iweje? Hili swali likijibiwa, bila shaka jibu la mjadala huu litakuwa limepatikana.
Kwa bahati mbaya sana, watetezi wa huu ukengeufu bado hawajatoa majibu yenye mashiko zaidi ya kutoa majibu ya ovyoovyokwamba, ooh wanaume wanavaa cheni na hereni ili waonekane SEXY! Sexy kwa nani na ili iweje? Wanawake wawe sexy na wanaume pia? Hapana. Hii haikubaliki hata kidogo.
Pia wapo baadhi wanaodai kwamba wanavaa hereni kwa kuwa designers wanakuwa wameziandika for men. Na wamewasifu hao designers kwamba wana akili sana kwa kuwa wanawasaidia kutambua cheni zipi ni za kike na zipi ni za kiume!!!!! Hili ni jibu la kitoto na kijuha! Hawa ndio wale wanaoshikiwa akilihata wakikuta sidiria imeandikwa for men watainunua na kuivaa! Watumwa wa mawazo na utu!
But, all in all, kifaa chochote cha kuvaa shingoni au masikioni, hivi vyote ni VIFAA VYA KIKE! Haijalishi kimeandika for men au for women. Ikiwa kuna mtu atakubali kuvaa upuuzi wa namna hiyo, eti kwa kuwa kuna za kiume na za kike, basi ujue akili zake ni za kushikiwamtu wa namna hiyo, akirudi nyumbani akute mama yake amevaa gauni la mke wake, basi atamgeuza kuwa mkewekisa tu kavaa gauni la mkewe!!!! Hizi ni akili za kumbikumbi na konokono!!!!!!!!!!
Mwanaume aonekane sex ili iweje? Atongozwe?
au ukiita msusi naye anaita wa kwake
cheni, mikufu, shanga, bangili, hair pins, nk, hivi vyote ni vifaa vya kike. kwani wewe unaona kawaida tu ukivaa hivi vifaa vya kike? angalia sana kuna siku utavaa brassier!
we ni shoga
Ni kweli ili tupate muafaka wa huu mjadala ni lazima kwanza tuwe neutral maana bila hivyo kutakua na ubishi mwingi. Kama ulivyosema au wachangiaji kadhaa walivyokwisha changia ni kwamba tuna tofautiana tamaduni zetu na malezi. Huu mchanganyiko wa tamaduni na malezi umebadili sana jamii yetu. Kwa mfano kuvaa pete ambazo si za ndoa, niliona wanaume kadhaa wakati nakua wakivaa pete na ni miaka mingi kiasi iliyopita tena walikua wanavaa pete zilizotengenezwa kwa shanga au pete zenye herufi hivi n.k. Halikua jambo la ajabu tulipoona hayo na wala jamii haikujali. Hizi cheni nimeona wanaume wakivaa na sijui kama ilikua taabu.Huu mjadala tpaul umeuanzisha tayari ukiwa na upande....au hitimisho..kama alivosema Ablessed tungekuwa norw objective kama tungejua chanzo....google ipo..sio kazi ngumu kujua
Ila kuwahukumu wengine kwa kuvaa sio sawa kwa sababu huwezi kulazimisha moral standards zako kwa mwingine...tamaduni zetu zinatofautiana..malezi yanatofautiana..ww kwa mfano umekulia Sitimbi kimalezi huweI kiwa sawa na aliyekulia mjini au jamii nyingine
Kwako unao a kuvaa cheni na vito vingine ni ukengeufu ila kwa wengine tunaona sawa.
Kuitana majina mara shoga sijui nini haileti maana...we must accept our differences..whom are we to judge?
Mi sioni tatizo kwa mwanaume kutupia cheni yake au pete..hivi hata za ndoa nnesuggest tuweke sandukuni? Ili iweje sasa?
Wengine na "lipshine" juu....
Sent from my iPhone using JamiiForums app
mkuuu bora wewe umeona hivyo
MI NISHAONA MMOJA KAVAA CHACHANDU
Kama hujielewi baba mababu zako walikuwa masharobaro sio..?!Vipi wanawake kuvaa suruali na viatu visivyokuwa na tofauti na wanaume? Does it change who they are? Vp wamasai? Imeandikwa wapi kuvaa cheni ni wanawake? You kind a stereotype.mababu zetu walivaa vibwaya vya majani na wake zao havikua na tofauti! What are you sayin about that?
Mbona unadanganya watu..sio lipshine ni dawa za kupaka kwenye midomo kama balm lip.. lipshine zinazuia kubabuka au zinafanya midomo ingae kama ya mwanamke..?Ukiwa nchi za magharibi kutumia lip shine ni kawaida kipindi cha baridi vinginevyo lips zitababuka ngozi na kuanza bleeding! Sasa sijui utakataa kwasababu ya kuogopa kuitwa mwanamke, kuna lip shine za urembo na nyingine kwa ajiri ya dry lips regardless ni mwanamke au mwanaume jamani mbona mna ushamba hivyo.
I think u know mtoa uzi kamaanisha nini..huko kwenye singa na nini tuache hizo visingizio...najua kabisa unajua kamaanisha nini..?Acha mambo ya jumla jumla kaka kuna cultural diversity kubwa sana na popular culture ipo pia so kile we unaona mbaya kwe wengine ni poa tu sasa kama unaona hata baadhi ya vitu kama mikufu na bangili ni ishu kwako wengine kwao ni mila kama ma singh bangili kama kawa ukija huku maasaini mikufu ni kama kawa.....!!!!!!!!
Vifaa vya kike vinaweza kuwa ni A katika jamii X na B katika jamii Y...............!!!!!!!!!!!!!
Sio kwa ujumla ki hivyo