Wanaume wanaovaa cheni na hereni wanataka nini?

Wanaume wanaovaa cheni na hereni wanataka nini?

rais wa Tz ndivyo anavyovaa. Sina uhakika kama ni urembo, bahati, kinga au ni alama tu!

pengine hata hao wamasai wanavaa/ wanatoboa kama urembo (kwa sehemu kubwa).

Kwa vyovyote vile ni vigumu mno ku generalize across people, culture and time. Kila kitu, ikiwamo tamaduni, kina mwanzo.

Mkuu SMU huyo.ana utani na JK....pamoja na wateule wake kibao tu....
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: SMU
Cheni ni pambo la kike, na amelaaniwa mwanaume mwenye kuvaa mavazi/mapambo ya wanawake.kula ujana mkuu, Tuacheni sie tule uzee.

Kwa mujibu wa nani/wapi/nini kwamba cheni ni pambo la kike? Je suruali ni vazi la kike/kiume?
 
Mrembo by Nature hata ww kweli unaweza kutia hoja dhaifu hivi ya kurrelate performance kitandani na uvaaaji wa cheni? Hata siamini

Cc OLESAIDIMU sokwe
Point yangu ni kwamba wengi wao wanaofanya haya ni milenda milenda tu. Japo huenda wapo wachache wanaofanya mambo haya ila wako makini kunako. Ila Kaizer kuwa mkweli, inakuwaje mwanaume anatinda nyusi? anapaka wanja? lipstick, nywele dawa, kusuka na mengineyo?? ni ili iweje sasa?
 
Last edited by a moderator:
Wanaume wanaovaa cheni na hereni wanataka nini???!!!

Hilo ndilo swali lako la msingi sasa likijibiwa kwa mapana unaona nazunguka mbuyu????!!!
La chachandu unalizua sasa ili kuleta chaos na confussion,otherwise edit heading yako!!!!
Nimekujibu ninalolijua juu ya maasai kuwa ni mila imeprescribe nikaongeza na mfano wa bangili kwa masinga wa kiume na wao maana yao ni hard working and responsible (kama nakumbuka vizuri)
Aliokwambia kuwa wakivaa wanafaidi ni nani,au wanavaa ili wafaidi ni nani na unaposema kufaidi operational definition ya kufaidi hapa ni ipi????!!!!!
Halafu nani anasema bangili na mikufu ni vya kike na je unaweza sema bangili na brecelet viko kundi moja kwa mfano?????!!!!

Ukitaka hoja ijadiliwe kama wote ni watoto wa baba mmoja,kabila moja,dini moja na tumelelewa katika context moja utakuwa unakosa a sense of cultural relativism na utakuwa unagubikwa na hila ya cultural ethnocentrism!!!!!!

Mimi kwa mfano ni nusu Maasai nusu Mnubi na ni Muislam sasa umasaini mi siulizwi lolote kama naamua kuvaa mkufu au bangel ila Uislam hauruhusu!!!!!
Unaona hiyo diversity sasa ila siwezi kuwa stigmatized kuwa haya ni marembo ya kike!!!!!

Maada yako ni ndefu sana kwa nature yake na ukitaka kulazimisha iwe fupi basi utakuwa huelewi tye logic behind your very own puzzle!!!!!

Hoja imeungwa mkono kijana wangu
 
Ndio maana nikakuambia on popular culture na cultural diffusion inapotokea jamii zinaa sehemu moja tegemea mbadilishano wa maadili,tabia,mavazi,vyakula na hata lugha achilia mbali masuala ya kiimani sasa suala la kusema hiki ni cha kike au la ni gumu sana isipokuwa yale yanayokatazwa na jamii nyingi na kiimani pia haya tunakubaliana kuwa hayafai mfano tabia za kishoga na kusagana ni mambo yanayopingwa kijamii na kiimani pia!!!!!!

Cultural flexibility ni matokeo ya globalization sasa cultural assimilation huwezi pingana nayo mkuu much as haina madhara kwa jamii ya leo na kizazi kijacho pia!!!!!

Hivi mtu kuvaa pete au mkufu kuna madhara gani kwa mfano? ????!!!!!

Hebu twende deep zaid kwenye symbolic interactionism theory ambapo tunaambiwa binadamu huvipa vitu maana sababu ana akili na utashi zaidi ya mnyama na maana hizo hubadilika kadiri wanavyowasiliana na kukubaliana juu ya mawasiliano na maana husika! !!!!!

Hapa ni kuwa maisha ya jamii au kundi fulani huwa na maana kwa wao tu na sio lazima wewe wa nje usiye na nasaba na kundi husika uelewe na kupata maana sawa na wao wahusika!!!!!!!

Hivi umewahi kujiuliza kwa nini kuvaa rozari ni sawa ila katika kundi hilo wengine wanaona mkufu si sawa????!!!!!!!

Pamoja na rangi kuwa nyeupe kwa nini mavazi ya ibada ya wakristo na waislamu hushonwa
mishono tofauti!!!!!!??????

Mkuu suala sio yeye kamaanisha nini au mimi naelewa nini ila ni suala la validity ya argument hapa jukwaani

Red: Mkuu naona sasa umeanza kuchanganya madesa….unaongelea imani ipi? Kwa akili zako unadhani ni yale tu yanayokatazwa na imani ndiyo mabaya? Mbona huvai sidiria kwa kuwa haikatazwi na imani?

Green: Usiseme mtu…sema MWANAUME. Na je kuvaa hayo madude ya kike kuna MANUFAA GANI? Na asipovaa atapata madhara gani? Hilo ndio swali unalopaswa kujibu kwenye topic hii.

Blue: Sawa….binadamu ana akili na utashi. Je akili na utashi wa kuvaa vitu vya kike ni akili au matope?

Bold red: Kwanini msituambie maana wakati mienendo yenu inaathiri jamii inayowazunguka? Kama mlikuwa na maana zenu ambazo hamtaki tuzijue basi mngeenda mkaishi peke yenu mwezini au kwenye sayari yoyote ambayo mngekuwa hamu-interact na jamii nyingine yenye mambo tofauti na yenu. Hii hoja yako ni ya kitoto sana na inaharibu maana ya mjadala huu. Kama wewe na wavaa mikufu na shanga wenzako unajua hiyo maana na hautaki kuisema, waache wenzako wafunguke…usiwagomeshe kutoa taarifa. Tunataka tujue ni kwanini wameamua kuishi maisha ya kipekee tofauti na wanajamii wengine.

Grey: kufananisha rozali na mkufu ni sawa na kufananisha Yesu na shetani, au kanzu na gauni…hivi ni vitu viwili ambavyo havina mfanano hata kidogo!


TUREJEE KWENYE MADA: Kwanini baadhi ya wanaume huvaa cheni, shanga, mikufu na hereni? Wanataka nini au wanataka waweje na kwa sababu gani? Je, wasipofanya hivyo watakosa nini na wakifanya hivyo wanapata manufaa gani? Hili ndilo swali la msingi linalopaswa kujibiwa ili tuhitimishe hii mada.
 
Point yangu ni kwamba wengi wao wanaofanya haya ni milenda milenda tu. Japo huenda wapo wachache wanaofanya mambo haya ila wako makini kunako. Ila Kaizer kuwa mkweli, inakuwaje mwanaume anatinda nyusi? anapaka wanja? lipstick, nywele dawa, kusuka na mengineyo?? ni ili iweje sasa?

Hahahaa Mrembo by Nature mada hapa wala haipo kwenye hao wapaka lipustick sijui kutinda nyusi...hapa tatizo ni kuwaweka wanaume wote kundi moja wanaovaa cheni au hata hereni kwamba "wanataka nini hasa" swali ambalo halina premise wala mantiki. Asante though nimekusoma hoja yako.
 
Last edited by a moderator:
Kwahio mshkaji hapa shoga..
blair-underwood.jpg


Nitakuja uniache na shemeji kidogo kama anamvuto. Halafu ukirudi habari utaipata.
 
Kwahio mshkaji hapa shoga..
blair-underwood.jpg


Nitakuja uniache na shemeji kidogo kama anamvuto. Halafu ukirudi habari utaipata.

Huyu sio SHOGA ila ni MREMBO...anaonekana SEXY! Na hakuna aliyedai kwamba wanaume wanaovaa mikufu na shanga ni mashoga...ila ni WAREMBO kama walivyo mamiss wenzao!

Unamuona mwenzake huyu hapa alivyo SEXY?

View attachment 159496
 
Siku hizi ni kawaida kumkuta mwanaume amevaa cheni shingoni au hereni masikioni. Tena utamkuta mwanaume mwenye akili zilizotimia (achilia mbali mateja) amevaa hereni na cheni kubwa huku akijiona mjanja! Huu ni ujanja au ni dalili za kukengeuka?

Tangu dunia hii ilipoumbwa, inajulikana kwamba urembo ni kwa ajili ya wanawake. Mwanaume hata ukiwa rafu ni pouwa tu--hakuna mtu atakayekushangaa, tofauti na ilivyo kwa wanawake. Mwanamke ni kiumbe anayejisikia kuonekana nadhifu na mrembo nyakati zote. Hivyo hupenda kuvaa vifaa vya urembo kama vile hereni, mikufu, pete, vidani, bangili, nk. Sasa wale wanaume wanaovaa vifaa hivi vya KIKE tuwaweke fungu gani? Si wavae na sketi kabisa ili tujue moja?

Kwa kweli wanaume wenzangu wanaovaa pete, hereni na mikufu wananiudhi sana. Mimi siwezi hata kuvaa saa kwa kuwa inanifanya nijihisi nimevaa bangili! Sasa iweje wanaume na ndevu zao watamani kuvaa urembo wa kike?

Naomba tujadiliane BILA JAZBA hadi jibu lipatikane. Samahani sana, najua hata humu JF wavaa hereni wamo.

Hata saaa pia? Wewe si buree
 
Red: Mkuu naona sasa umeanza kuchanganya madesa….unaongelea imani ipi? Kwa akili zako unadhani ni yale tu yanayokatazwa na imani ndiyo mabaya? Mbona huvai sidiria kwa kuwa haikatazwi na imani?

Green: Usiseme mtu…sema MWANAUME. Na je kuvaa hayo madude ya kike kuna MANUFAA GANI? Na asipovaa atapata madhara gani? Hilo ndio swali unalopaswa kujibu kwenye topic hii.

Blue: Sawa….binadamu ana akili na utashi. Je akili na utashi wa kuvaa vitu vya kike ni akili au matope?

Bold red: Kwanini msituambie maana wakati mienendo yenu inaathiri jamii inayowazunguka? Kama mlikuwa na maana zenu ambazo hamtaki tuzijue basi mngeenda mkaishi peke yenu mwezini au kwenye sayari yoyote ambayo mngekuwa hamu-interact na jamii nyingine yenye mambo tofauti na yenu. Hii hoja yako ni ya kitoto sana na inaharibu maana ya mjadala huu. Kama wewe na wavaa mikufu na shanga wenzako unajua hiyo maana na hautaki kuisema, waache wenzako wafunguke…usiwagomeshe kutoa taarifa. Tunataka tujue ni kwanini wameamua kuishi maisha ya kipekee tofauti na wanajamii wengine.

Grey: kufananisha rozali na mkufu ni sawa na kufananisha Yesu na shetani, au kanzu na gauni…hivi ni vitu viwili ambavyo havina mfanano hata kidogo!


TUREJEE KWENYE MADA: Kwanini baadhi ya wanaume huvaa cheni, shanga, mikufu na hereni? Wanataka nini au wanataka waweje na kwa sababu gani? Je, wasipofanya hivyo watakosa nini na wakifanya hivyo wanapata manufaa gani? Hili ndilo swali la msingi linalopaswa kujibiwa ili tuhitimishe hii mada.

Hebu kasome humu!!!!!

1. Faith and religion differences
2. Cultural relativism and ethnocentrism
3. Social constructionism of reality
4. Verstehen; actuele & eclarandes
5. Sexuality and gender; feminism and male chauvinism

Tafuta kitabu cha (author) Philip Konrad Kottak

Halafu kama kweli msomaji fufua tena huu uzi
 
Hebu kasome humu!!!!!

1. Faith and religion differences
2. Cultural relativism and ethnocentrism
3. Social constructionism of reality
4. Verstehen; actuele & eclarandes
5. Sexuality and gender; feminism and male chauvinism

Tafuta kitabu cha (author) Philip Konrad Kottak

Halafu kama kweli msomaji fufua tena huu uzi

Bado hujajibu hoja zangu....unatumia muda mwingi sana kuji-defend kuliko kujibu hoja straightforward. Kwanini unazunguka mbali hivyo wakati kuna shortcut?
 
Unajua maana ya subculture???!!!!!
Jamii gani ya watu wanavaa pete na wanavaa vidole gani, wanaweka vito,vy aina gani???!!!
Watu gani wanavaa mikufu,ya ukubwa gani na madini gani,ina vidani vya mawe au madini???!!!
Wanatoboa masikio je yote mawili au moja kama moja ni la upande gani???!!!!

Uko sawa kuwa inabidi kuuliza maswali na huu ndio ufunguo wa kuelewa sio kuja na sulihisho bila hata kujisumbua kujua maana ya hao wanaofanya hayo kwa wanavyomaanisha wao na sio ujuavyo wewe!!!

Kwani wao walisema wanadumisha mila mkuu au wewe unadhani wao tajibu hivyo??????!!!!!
Tusipoewana na ukabaki na wasi wasi ni vizuri sasa chukua wasiwasi kama changamoto usome juu ya symbolic interactionism na social constructionism halafu tuendelee na mjadala kama na wewe una refferences nipe nikaongeze maarifa
Mimi sijaona maaarifa hapo..nmekutolea mfano na majina nmekutajia ila umekimbia ..nauliza tena mtu kama diamond na hemedphd kuvaa hereni na mikufu, kubadilisha nywele rangi unachukulia kama kudumisha mila..!!!?
 
Back
Top Bottom