Nedlloyd
JF-Expert Member
- Mar 29, 2014
- 10,361
- 27,215
😁😁 Nawapenda Sana .Sawa
Mnajua kunifurahisha Mana sio kwa mizigo mnayobeba huko nyuma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😁😁 Nawapenda Sana .Sawa
[emoji15][emoji15]Na wanapenda haswa, Yaan ukiona wanavyokunjana bila huruma....aisee lile game wangekuwa wanapewa Wanawake hakika ndoa nyingi zingedumu[emoji57]
Amepigwa tukio sasa anachuki na wanaume wote[emoji23][emoji23] Huyo ni mmoja wa wasiopenda wanaume .. Hana mahusiano na sisi kabisaa.
Kaa mbali kijana[emoji23][emoji23]
#Wanyakyusa mnisamehe
Mavi tuu yale hakuna jipya[emoji16][emoji16] Nawapenda Sana .
Mnajua kunifurahisha Mana sio kwa mizigo mnayobeba huko nyuma
Wanaume hata tusipopendana ikitokea dili la pesa ni rahisi sana kuunganika pamoja maana msingi wa maisha yetu ili tuishi ni kazi
Tofauti na wanawake hawapendani sbb maisha yao wanategemea mwanaume
Binafsi Ni rahisi sana kuvunja mahusiano na mwanamke ili kulinda urafiki na Mwanaume mwenzangu
Coz mahusiano kwangu huwa nayachujulia Ni kitu Cha kupita na kisicho na faida ya Maana sana ukiondoa suala Zima la ngono.
Ila urafiki Unaweza kua wa kudumu na ukawa na manufaa mengi sana pande zote mbili
Wanaume ni miungu!! sababu waliumbwa kwa mfano wa Mungu aliye hai!!…..Mungu wa Ibrahimu Isack na Yakobo! Na Mungu ni Utatu Mtaktifu daima!....ni mfanoo wa Baba aliye juuu!Ukweli
Zisingekuwa Mbususu bin papuchi zao hizo ! au km kungekuwa na Mbadala wa mbususu mademu wangekoma haswa nakwambia!...wangetembea mpaka wachakae!!...Haha kuendeshwa na mbususu... Nimekupata mkuu