Wanaume wanasura nzuri kuliko wanawake

nadhani mtoa mada alitaka kumaanisha sisi wanaume tunajikubali kuliko wanawake. msimjaji vbaya asee.
 
Aisee,kumbe ww ni ME?
Nilidhani nimeitazama vibaya avatar ya mleta uzi........ [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kumbe ni ME..... [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87]
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
kuna kaukweli fulani hapo..
haka ka utafiti umekafanya kwa kuruta nini?
maana kuna madawili yanakuaga kama ngorongoro sugu..!
 
Kwa mara ya kwanza namsoma me akijisifia kwa uzuri, kuna mapungufu sehemu
 
achana na avatar yangu pls hivi lazima uchukue avatar ambayo mtu anatumia ww mwanaume unatumiaje avatar ya mwanamke nakusemea kwa mods
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…