Mung Chris
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 3,391
- 3,849
Mwanaume, ukitaka kuoa jitahidi kama una pagala au una nyumba hujaimalizia, malizia mwenyewe usimshirikishe huyo mkeo unaye muoa au unayetaka kumuoa, mali alizokukuta nazo zibaki za kwako binafsi au wanao kama unao wa nje ya ndoa, kwanini, ukimshirikisha akiwa na hela zake akaziweka kwenye ujenzi jua kwamba akiamua kuvunja ndoa ataomba mgawane mali bila ya kujali ulihangaika sana kulipata lipagala lako.
Ni vema mkatafuta kiwanja cha jasho lenu mkaanza kujenga kwa jasho lenu si vinginevyo. Vya mwanamke ni vyake ila anavyovikuta kwa mwanaume ni vyenu wote hapa ndio huwa kuna tatizo, haijawahi tokea mwanamke aka deicate mali zake kuwa ni za wote punde tu mnapooana, ni kwa wachache sana sana sana, hapa lazima wanaume wajue namna, siku hizi ukimwambia mwanamke tukatafte chetu au tukapange muachane na nyumba yako hawataki.
Kwanza ukimkomalia hivyo anatafuta namna muachane. Nimewaamsha kwa swala hili msilale, ila mliopigwa kwa haya matukio mje mtwambie na mliolazwa makaburini kwa matukio kama haya ndugu waje wasimulie ili wengi waamke.
Ni vema mkatafuta kiwanja cha jasho lenu mkaanza kujenga kwa jasho lenu si vinginevyo. Vya mwanamke ni vyake ila anavyovikuta kwa mwanaume ni vyenu wote hapa ndio huwa kuna tatizo, haijawahi tokea mwanamke aka deicate mali zake kuwa ni za wote punde tu mnapooana, ni kwa wachache sana sana sana, hapa lazima wanaume wajue namna, siku hizi ukimwambia mwanamke tukatafte chetu au tukapange muachane na nyumba yako hawataki.
Kwanza ukimkomalia hivyo anatafuta namna muachane. Nimewaamsha kwa swala hili msilale, ila mliopigwa kwa haya matukio mje mtwambie na mliolazwa makaburini kwa matukio kama haya ndugu waje wasimulie ili wengi waamke.