Wanaume waoaji lazima tujifunze vinginevyo tutakufa mapema

Wanaume waoaji lazima tujifunze vinginevyo tutakufa mapema

Mung Chris

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2017
Posts
3,391
Reaction score
3,849
Mwanaume, ukitaka kuoa jitahidi kama una pagala au una nyumba hujaimalizia, malizia mwenyewe usimshirikishe huyo mkeo unaye muoa au unayetaka kumuoa, mali alizokukuta nazo zibaki za kwako binafsi au wanao kama unao wa nje ya ndoa, kwanini, ukimshirikisha akiwa na hela zake akaziweka kwenye ujenzi jua kwamba akiamua kuvunja ndoa ataomba mgawane mali bila ya kujali ulihangaika sana kulipata lipagala lako.

Ni vema mkatafuta kiwanja cha jasho lenu mkaanza kujenga kwa jasho lenu si vinginevyo. Vya mwanamke ni vyake ila anavyovikuta kwa mwanaume ni vyenu wote hapa ndio huwa kuna tatizo, haijawahi tokea mwanamke aka deicate mali zake kuwa ni za wote punde tu mnapooana, ni kwa wachache sana sana sana, hapa lazima wanaume wajue namna, siku hizi ukimwambia mwanamke tukatafte chetu au tukapange muachane na nyumba yako hawataki.

Kwanza ukimkomalia hivyo anatafuta namna muachane. Nimewaamsha kwa swala hili msilale, ila mliopigwa kwa haya matukio mje mtwambie na mliolazwa makaburini kwa matukio kama haya ndugu waje wasimulie ili wengi waamke.
 
4115.jpg
 
Maisha haya aise,ni kuchanga kalata flesh.Mwanaume ukimpata aliye sahihi utainjoy,vilevile Mwanamke akimpata aliye sahihi atainjoy.
Kwa nn tageti iwe kuachana na sio kuzeeka pamoja kwa mafanikio ya familia yenu?!.
Matatizo hayana mwenyewe.

Kumbuka pia,Kuna wanaume vichomi na vilevile kuna wanawake vichomi pia.
Hakuna aliyekamilika kwa 100%.

Usimwoe huku ukiwa na mawazo kwamba utaachana nae,sio vizuri.

Mchague ambaye unaendana nae,umjue akijue mtaishi kwa furaha hata kama hamna Mali na pia mkijaaliwa kuwa na Mali pia.

Maisha ya kuviziana sio mazuri.
Usiolewe kwa mihemko,Wala kuoa kwa mihemko.🙏
 
Ndoa nyingi hazidumu kwa kuwa tunajiandaa kutalakiana kuanzia dakika ya kwanza, hivyo hatujitoi kwa moyo mmoja.

Ni bora tusioe/msiolewe kuliko kuingia mguu mmoja ndani, mwingine nje.

Kutokuoa/kuolewa siyo dhambi.
 
Wake wenyewe ni hawa pHd za €hupi mixer ujuaji u-feminist humo humo hakuna atakaetoboa,dawa oeni wanawake waliolelewa kifamilia siyo hao waliotoka makwao wakaenda vyuo sasa wapo mitaani.
FB_IMG_1509038924047.jpg
 
Maisha haya aise,ni kuchanga kalata flesh.Mwanaume ukimpata aliye sahihi utainjoy,vilevile Mwanamke akimpata aliye sahihi atainjoy.
Kwa nn tageti iwe kuachana na sio kuzeeka pamoja kwa mafanikio ya familia yenu?!.
Matatizo hayana mwenyewe.

Kumbuka pia,Kuna wanaume vichomi na vilevile kuna wanawake vichomi pia.
Hakuna aliyekamilika kwa 100%.

Usimwoe huku ukiwa na mawazo kwamba utaachana nae,sio vizuri.

Mchague ambaye unaendana nae,umjue akijue mtaishi kwa furaha hata kama hamna Mali na pia mkijaaliwa kuwa na Mali pia.

Maisha ya kuviziana sio mazuri.
Usiolewe kwa mihemko,Wala kuoa kwa mihemko.🙏
nimeupenda ushauri wako mtumishi wa Mungu, mimi kwa ushauri wangu mwanamke au mwanaume wa kuoa/kuolewa husimwangalie kwa vitu vya nje sura, mali inabidi upendo utoke ndani ya moyo umpende kutoka moyoni ukipenda mali sura mtaachana upende husipende moyo ndo unaamua pia rohoni ndo ihamue kuwa huyu mume /mke anatoka kwa Mungu lakini ukienda kimhemuko hufiki mbali mtaachana tu hata huwe umezaa watoto 20 mtaachana tuuu.
 
Kama huo ndio mpàngo NI VIZURI ungeshauri Wanaume wasioe Kabisa

Au waoe Wanawake weñye vipato
Mwanamke mwenye kipato HUWEZI kufikiria kuhusu kugawana Mali ilhali unajua naye anamchango Mkubwa kwèñye Mali mlizonazo.

Ushauri wako NI mzuri Kwa wanaume wanaotaka au waliooa golikipa au Wanawake Maskini
Kwa sababu Wataona huyu hakuwa na mchango wowote zaidi ya papuchi na kulea Watoto iweje tugawane 50*50

Mwanamke kama anafanya Kazi na anakipato mnachokariabiana au Kulingana au kakuzidi HUWEZI ona shida kugawana naye Mali baàda ya kuachana labda uwe mroho na Roho mbaya

Mpe MTU Haki yake
 
nimeupenda ushauri wako mtumishi wa Mungu, mimi kwa ushauri wangu mwanamke au mwanaume wa kuoa/kuolewa husimwangalie kwa vitu vya nje sura, mali inabidi upendo utoke ndani ya moyo umpende kutoka moyoni ukipenda mali sura mtaachana upende husipende moyo ndo unaamua pia rohoni ndo ihamue kuwa huyu mume /mke anatoka kwa Mungu lakini ukienda kimhemuko hufiki mbali mtaachana tu hata huwe umezaa watoto 20 mtaachana tuuu.
100%

,,👇
 
Zama hizi upendo wa kweli haupo,
wengi wanaingia kwenye ndoa kwa matarijo tofauti.
na usiusemee moyo,
Ni kweli kabala ya kufanya maamuzi ya kuoa, ebu jijenga kwanza wewe.uwe na chako au vyako.
naam kwenye kuoa au kuolewa nendeni mkatafute vya pamoja
 
Back
Top Bottom