Wanaume waoaji lazima tujifunze vinginevyo tutakufa mapema

Wake wenyewe ni hawa pHd za €hupi mixer ujuaji u-feminist humo humo hakuna atakaetoboa,dawa oeni wanawake waliolelewa kifamilia siyo hao waliotoka makwao wakaenda vyuo sasa wapo mitaani.View attachment 3039064
Komwe lenyewe kama la Zingerthropus afu masharti tani 1000 😏🤔

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
Pined 📌
 
Ndoa nyingi hazidumu kwa kuwa tunajiandaa kutalakiana kuanzia dakika ya kwanza, hivyo hatujitoi kwa moyo mmoja.

Ni bora tusioe/msiolewe kuliko kuingia mguu mmoja ndani, mwingine nje.

Kutokuoa/kuolewa siyo dhambi.
Sio dhambi lakini sasa utakuwa master of masturbation
 
Haya mambo ni magumu pa de zote
Labda niulize, ni vipi endapo mwanamke mfanyakazi anamiliki nyumba yake na baadae akaoana na jamaa wakaishi hadi mwanamke kastaafu na katika mafao yake akaongeza nyumba nyingine
Huyu njemba anahusika?
 
Mali mnazo kusanya mkiwa pamoja/ mlivuna mkiwa wote ni mali za wote, hata kwenye kugawanya, mmeoana akiwa kazini mpaka ana staafu wote mpo kazini, hizi mali za wote. Tatizo ni ulizo mkuta nazo ndio zinaleta ukakasi.
 
Wadogo zangu ambao hamjaolewa mna kazi kubwa sana kwa wanaume wa sasa... kama mtu anaingia kwny ndoa na mind set ya kuja kuachana kuna ndoa hapo? Upendo haupo na uwajibikaji haupo...huwezi ukaoa kwa upendo wote halafu ufiche vitu pembeni..kama hamko tayari kuoa msioe..waache walioamua kuoa na kuwa vichwa vya familia vifanye hivyo...
 
Si kwa wa kike tu bali hata wa kiume, maisha ya karne hii ya 21 ni maigizo tupu ya kuviziana ilimradi tu mwonekano wa nnje ni ndoa takatifu.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…