Wanaume wapole wanapendwa sana

Wanaume wapole wanapendwa sana

Habari zenu wanajamii forum
Kuna dada nilikuwa naongea naye hapa mwanza ,katika mazungumzo yetu akasema yeye anapenda wanaume wapole kuliko wanaume waoongea sana nikamuuliza kwanini unawapenda wanaume wapole akasema wanakuwaga wakweli na wanapenda sana vile vile wanamvuto kutokana na ustaarabu wao hivyo akamalizia kwa kuniambia yeye anaongea na wanaume weeeeengi lakini wanaume wapole wanauteka sana sana moyo wake kwa kuwa anawaamini kupita kiasi.Ni kweli wanaume wapole tunapendwa sana kuliko wanaume waongeaji

kutozungumza ni upole au ukimya..mana naona kuna misconception iliyopo ktk jamii kati ya upole, na ukimya.
 
Habari zenu wanajamii forum
Kuna dada nilikuwa naongea naye hapa mwanza ,katika mazungumzo yetu akasema yeye anapenda wanaume wapole kuliko wanaume waoongea sana nikamuuliza kwanini unawapenda wanaume wapole akasema wanakuwaga wakweli na wanapenda sana vile vile wanamvuto kutokana na ustaarabu wao hivyo akamalizia kwa kuniambia yeye anaongea na wanaume weeeeengi lakini wanaume wapole wanauteka sana sana moyo wake kwa kuwa anawaamini kupita kiasi.Ni kweli wanaume wapole tunapendwa sana kuliko wanaume waongeaji

Muda wenyewe mchache
 
Wanaowapenda wanaume wa aina hii... ni wale wanawake wenye mambo mengi na kutaka kummiliki mwanaume...

Yeye afanye anachotaka.. akikupa maelezo kidogo tu yaishe...

Hii kweli kabisa maana anaweza akawatambulisha wanaume wake kama kaka zake. Ilishanikuta hii aisehh akiongea na simu kama anaongea na machalii wake kumbe ana lake. siungi mkono mwanaume kuwa mpole ata nguo utafua ndugu ilishawahi nitokeaga nilisepa na simu nikazima
 
Kuwa mpole hakuzuii mwanamme kuwa ngangari mara tu unapoonyeshwa dharau na mke/mchumba wako.
 
Kila mtu na mapenzi yake,wadada wengune ni tofauti na hivyo,hawpendi watu waliopooza
 
Habari zenu wanajamii forum
Kuna dada nilikuwa naongea naye hapa mwanza ,katika mazungumzo yetu akasema yeye anapenda wanaume wapole kuliko wanaume waoongea sana nikamuuliza kwanini unawapenda wanaume wapole akasema wanakuwaga wakweli na wanapenda sana vile vile wanamvuto kutokana na ustaarabu wao hivyo akamalizia kwa kuniambia yeye anaongea na wanaume weeeeengi lakini wanaume wapole wanauteka sana sana moyo wake kwa kuwa anawaamini kupita kiasi.Ni kweli wanaume wapole tunapendwa sana kuliko wanaume waongeaji
Uongoooo
 
Back
Top Bottom