Ni nunulie bosi wangu 😁🤣Vizuri mno …daah
Very interestingWakuu.
Kama wewe ni mrefu, juu ya mita 1.7 ebu jaribisha kuvaa viatu vyenye shingo ndefu kwenye mitoko yako ya sahivi.
Kama ni mtu wa jeans na track jaribisha Jordan 1 [ata copy nzuri tu unapata kwa 40,000/=] au Jordan 5, 6 au 7 etc.
View attachment 2986719View attachment 2986720View attachment 2986721
Au kama una mix jean na juu shati, au kadeti, unaweza tafuta pigo za kina Clarks hivi.
View attachment 2986723View attachment 2986724View attachment 2986726
Naamini unaweza pata hii ikawa style yako mpya. Achana na low cuts.
Dah hii chuma waliunda. Labda kuwe na copy..Mkataba huo....
View attachment 2986737
Hiki ninacho tangu 2016..mpka leo kinadunda tu.
Yeah Travota nzuri sana, sana na ukipata ya zipu mtumba ndio unyama square.Nazikubali sana travota, ndo viatu vyangu, ila hzo Jordan and other sneakers hua naona wanaozivaa wengi wao ni wavulana walio kwny balehe most of them hawajitambui,
Vinakuwa vigumu sana hivi….imara sana
Yes, hapo kwny travota tuko pamoja japo kwenye mtumba cjafankiwa kupata travota ya size yangu yenye zip. Mm nina hii yenye elastic pembeni, Ila kwny sneaker hata iwe plain colour bado cjazikubali maybe kwa sababu unyayo wangu mrefu au kwa sabu mi sio bishoo👇Yeah Travota nzuri sana, sana na ukipata ya zipu mtumba ndio unyama square.
View attachment 2986744
Achana na hizi za elastic pembeni baada ya muda inalegea inakua mbaya sana sana sanaaa..
View attachment 2986745
Hapo kwenye Jordan hapo hahaha ..
Tatizo la Jordan ni rangi, ukijimix ukachukua marangi rangi utaonekana haujabalehe.
View attachment 2986746
Ila ukipata plain colors unyama haina complications sana..
View attachment 2986747