Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawasawa👊👊Zimeisha izo mama, kuna mtu nakuonganisha nae
Vipi elastic hailegei?Yes, hapo kwny travota tuko pamoja japo kwenye mtumba cjafankiwa kupata travota ya size yangu yenye zip. Mm nina hii yenye elastic pembeni, Ila kwny sneaker hata iwe plain colour bado cjazikubali maybe kwa sababu unyayo wangu mrefu au kwa sabu mi sio bishoo👇
Sivai viatu mara kwa mara, naweza kuvaa mara 2 au tatu tu kwa mwez. Hvyo hapo pichan vina mwaka m1 tangu ninunue na elastic haijalegea.Vipi elastic hailegei?
matumizi ya kitu ndio huakisi uchakavu wake.... unakuta mtu ana pea moja kwann isilegee...Sivai viatu mara kwa mara, naweza kuvaa mara 2 au tatu tu kwa mwez. Hvyo hapo pichan vina mwaka m1 tangu ninunue na elastic haijalegea.
Ni kweli kabisa aseematumizi ya kitu ndio huakisi uchakavu wake.... unakuta mtu ana pea moja kwann isilegee...
Yah chuma ya kibabe.. Hafu ukivaa hii hautembei haraka haraka.View attachment 2986812
Wanaume mkivaa kiatu km hiki mnapendeza sana
Hahahahhada.. na uzuri wa Jordan nyingi unisex.. unaweza ukawa unavaliana na mpenzi wako..ebhana weee kula jordan nyeusi jeanc nyeusi na t-shirt white alafu unashuka kwenye daladala kiatu kimekanyagwa t-shirt imesiginwa uchafu alafu huna namna inabidi ufike sehemu ulionuia kufika ila unasonya kila muda😂😂😂😂
Hivi ndio vitu vyangu sasaView attachment 2986812
Wanaume mkivaa kiatu km hiki mnapendeza sana
😂😂 vipi hiiYah chuma ya kibabe.. Hafu ukivaa hii hautembei haraka haraka.
Vipi hiiHivi ndio vitu vyangu sasa